johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
HOW?Tulionewa
Sijui anamsema nani sasa?Mbunge wa Nzega vijijini Kigwangalla ameandika kwenye ukurasa wake twitani kwamba, Tulionewa Tulisimangwa, Tulisingiziwa na Kunyanyaswa na watu waliokuwa na access lakini sasa mambo yao yako wazi tena yana ushahidi. Namshukuru Rais Samia kwa kuliona hilo.
Kiukweli Lumumba moto unawaka sawia na Ufipa.
Dominica njema!
Aseme kama hakukodi Hoover imtembeze Mbugani yeye na wahuni wenzie kuangalia pundamilia?Au,hakuwalipa wahuniwahuni kufanya matangazo ya utalii kitapeli?HOW?
Hivi hachukui hata ushauri wa mwenza wake kama yupo?Mumpeleke kule Kwihala kwa mtemi akatubu.Damn shame!Kigwangala lini alikua na akili, anatuaibisha sana wana tabora mjinga huyu.
Hivi hiyo sanamu ni kumuwakilisha nani?Kama ni Mwl.Nyerere hapana.Nafuu Kama ukweli ameujua,maana walikuwa wanamsingizia
View attachment 2033372
View attachment 2033373
Kwani Kigwangalla alisahaulika enzi za mwendazake?Huyu ripoti ya CAG inamuhusu, ila anajua kwa kumtukuza Mama, anaweza baki salama na ndio maana anaongea yote haya.
Isitoshe, huu ni ushahidi wa siasa za makundi zilizoko ndani ya CCM leo hii.
Kundi la Mwendazake vs kundi lilosahaulika/lililoathirika enzi za Mwendazake.
Yeye si miongoni mwa wahuni wa awamu ya tano? alinyanyaswa lini?Mbunge wa Nzega vijijini Kigwangalla ameandika kwenye ukurasa wake twitani kwamba, Tulionewa Tulisimangwa, Tulisingiziwa na Kunyanyaswa na watu waliokuwa na access lakini sasa mambo yao yako wazi tena yana ushahidi. Namshukuru Rais Samia kwa kuliona hilo.
Kiukweli Lumumba moto unawaka sawia na Ufipa.
Dominica njema!
ndio kila mtu anashangaa alinyanyasika lini?? Hawa ndio wanaomchafua mamaKwani Kigwangalla alisahaulika enzi za mwendazake?
kigwa ndio naamini kweli ni mshenzi sana. Anataka kuaminisha watu kwamba alinyanyaswa na nani?Kila la kheri Hamisi,ila uwe na shukurani,ulikuwa kwenye Baraza la Mawaziri la Muhutu mwenzio,sasa unaplay Victim eidha funguka mazima tukusapoti au Shut da f*ck and keep calm.
View attachment 2033380