Dkt. Kikwete Amfungukia Mambo Mazito Diamond Platnumz.

Huyu mzee moja ya ahadi zake alizoshindwa kutimiza ni kuileta Real Madrid uwanja wa Taifa. Yaani kaenda mwenyewe tu kupiga picha Bernabéu.
 
Huyu mzee moja ya ahadi zake alizoshindwa kutimiza ni kuileta Real Madrid uwanjawa Taifa. Yaani kaenda mwenyewe tu kupiga picha Bernabéu
Dah umeua kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Mafisadi ndo walikuwa wanaisha kama malaika....kipindi hiki ni kuishi kama mashetani....Ila sisi wajasiliamali mpaka leo tunakuka Milo mitatu kama kawa na kwa jasho LETU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…