Kenya 2022 Dkt. Kikwete kuongoza Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Kenya 2022 Dkt. Kikwete kuongoza Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Kenya 2022 General Election
Aliyesababisha Watanzania wote Kudharauliwa na kuonekana ni Kituko na Majirani na Wenye Akili Kubwa duniani.
Hata yalikuwa maneno tu ya dhihaka dhidi yake. JPM a.k.a Jiwe naye utasemaje?
 
Halali mtu. Tutalisimanga hilo JIZI usiku na mchana.
Masikini hulali kwa sababu ya Kikwete!

We ndo boya kweli kweli.
Na hutolala kweli mana JK anazidi kushine tu km kijana vile.
Hivi sasa yy ndo kaishikilia nchi kila analolitaka linakuwa.

Huku kwenye Jumuia za kimataifa wanaendelea kumtambua.
Halafu Masikini kama nyie mliopata malezi ya kimasikini eti hamlali kisa kumsimanga JK!!
Foolish!
Andaeni watoto wenu waondokane na mawazo yenu hayo ya kimasikini
 
Anaonekana BADO ana nguvu japo kakosa tabasamu lake lile tulilolizoea!

Huyu jamaa katuweka kwenye ramani watu WENGI Sana humu hasa kielimu!nakumbuka ni katika kipindi chake HSLB imetupatia mikopo ya vyuo vikuu kwa wanachuo wengi Sana!!

"Kikwete is an easy man to hate but hard to despise""!

Ni kweli ktk kipindi chake ndipo uzao wa UFISADI ulizaliwa,ukakua na kukita mizizi Hadi leo kuuondoa itagharimu MISINGI ya umoja wa kitaifa ambao hata hayati jpm ilimtesa Sana Hadi huko alipo!!

"RIP in advance Boss"! In yoga's writings!!


Taarifa itatumika ku spin 20/7/2022 to 15/8/2022 tagert is locked!!?

Tusubiri

Tukumbuke;-

'Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Katuibia gesi yetu ya mtwara na genge lake la majizi.

Tunamtaka arudishe gesi yetu ili wananchi wafaidike na mali waliyopewa na Mungu.

La sivyo, tutamsimanga kweli kweli mwizi mkubwa yule.
Aliibaje? Tupe ushahidi
 
Rais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Africa Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Source ITV
UCHAGUZI wa Nyumbani kwake TANZANIA Chama chake kinauchafua na Yeye akiushuhudia Eti leo mwangalizi
 
Hili zee halitaki kustaafu?

Au linasubiri kustaafishwa kwa bunduki?
Mkuu kuna level ukifika inakuwa na majukumu yake, haijalishi unamchukia huyu mtu kiasi gani lakini hiyo ndio level yake, lakini pia katika Afrika mashariki yeye ndiye mstaafu kijana kwa sasa, baadaye atakuja Uhuru Kenyata, lakini kwa sasa ni Kikwete.
Kikwete anaheshimika sana Duniani, huo ndio ukweli.
 
Hivi Kikwete PhD aliisomea wapi?Yeye na Msukumu ni dugu moya,sasa kuitwa Dokta inakuaje wakati ya heshima tu🤣🤣
 
Rais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Chanzo: ITV

--------

Jakaya Kikwete is head of mission to Kenya


Source: KTN News Kenya

Follow in detail the news of Jakaya Kikwete and his fellow team members who constitute the EAC Election Observation Mission

H.E Jakaya Kikwete launches the EAC Election Observer Mission to the 2022 Kenya General Election​

Posted in Peace & Security

East African Community Headquarters, Arusha, Tanzania, 1st August, 2022: The East African Community (EAC) has today officially launched the EAC Election Observation Mission, set to observe the upcoming General Elections in the Republic of Kenya.

The Head of the EAC Election Observation Mission is H.E Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, former President of the United Republic of Tanzania.

pr 01082022 02


Dr. Kikwete announced the mission comprises 52 observers drawn from key governance and independent institutions and civil society organizations across the EAC Partner States except Kenya. The mission will be in the country from 1st August 2022 and is set to depart on 12th August, 2022.

“We are here to assess the level of preparedness of the key electoral stakeholders for this election. We are also looking at the level of compliance of the electoral processes and management to the international, regional and national established laws, principles and practices,” he said.
View attachment 2311442
Dr. Kikwete further said that the EAC Observer Mission will assess the adherence to the democratic principles of the EAC as enshrined in the Treaty.

“We are committed to offer objective recommendations for continuous improvement for the conduct of this general election,” he said Dr. Kikwete.

The mission will build on the outcomes of the Joint African Union/EAC/IGAD/COMESA pre-election assessment conducted over the last one month.

H.E. Kikwete said that the mission will interact with a number of key stakeholders in pursuit of peaceful elections. Among these will be IEBC, political parties, candidates, the judiciary, security organs, media and civil society.

The EAC will then announce the findings of the mission through an Interim Statement on 11th August, 2022.

The EAC Secretary General, Dr. Peter Mutuku Mathuki, in remarks read on his behalf by the EAC Principal Political Affairs Officer, Mr. David Onen, said that EAC´s mandate to observe elections in Partner States, is governed by the Treaty and the EAC Principles for the Observation and Evaluation of Elections.

“As a region, we have a conviction that regional observation is critical to enhancing the credibility of the elections, reinforcing the work of domestic observer groups and enhancing public confidence in the entire electoral process,” he said.

Dr. Mathuki reaffirmed EAC´s commitment to strengthen governance and enhance the culture of democracy as a fundamental principle of the Community.

“The Treaty under Article 6 (d) requires the Partner States to uphold “good governance including adherence to the principles of democracy, the rule of law, accountability, transparency, social justice, equal opportunities, gender equality as well as the recognition, promotion, and protection of human and people’s rights in accordance with the provisions of the African Charter on Human and People’s rights,” said Dr. Mathuki

Source : H.E Jakaya Kikwete launches the EAC Election Observer Mission to the 2022 Kenya General Election
Sorry Rais mstaafu Kikwete amesoma PhD yake chuo gani?
 
Rais mstaafu Dr Kikwete ataongoza kundi la Waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Chanzo: ITV

--------

Jakaya Kikwete is head of mission to Kenya


Source: KTN News Kenya

Follow in detail the news of Jakaya Kikwete and his fellow team members who constitute the EAC Election Observation Mission

H.E Jakaya Kikwete launches the EAC Election Observer Mission to the 2022 Kenya General Election​

Posted in Peace & Security

East African Community Headquarters, Arusha, Tanzania, 1st August, 2022: The East African Community (EAC) has today officially launched the EAC Election Observation Mission, set to observe the upcoming General Elections in the Republic of Kenya.

The Head of the EAC Election Observation Mission is H.E Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, former President of the United Republic of Tanzania.

pr 01082022 02


Dr. Kikwete announced the mission comprises 52 observers drawn from key governance and independent institutions and civil society organizations across the EAC Partner States except Kenya. The mission will be in the country from 1st August 2022 and is set to depart on 12th August, 2022.

“We are here to assess the level of preparedness of the key electoral stakeholders for this election. We are also looking at the level of compliance of the electoral processes and management to the international, regional and national established laws, principles and practices,” he said.
View attachment 2311442
Dr. Kikwete further said that the EAC Observer Mission will assess the adherence to the democratic principles of the EAC as enshrined in the Treaty.

“We are committed to offer objective recommendations for continuous improvement for the conduct of this general election,” he said Dr. Kikwete.

The mission will build on the outcomes of the Joint African Union/EAC/IGAD/COMESA pre-election assessment conducted over the last one month.

H.E. Kikwete said that the mission will interact with a number of key stakeholders in pursuit of peaceful elections. Among these will be IEBC, political parties, candidates, the judiciary, security organs, media and civil society.

The EAC will then announce the findings of the mission through an Interim Statement on 11th August, 2022.

The EAC Secretary General, Dr. Peter Mutuku Mathuki, in remarks read on his behalf by the EAC Principal Political Affairs Officer, Mr. David Onen, said that EAC´s mandate to observe elections in Partner States, is governed by the Treaty and the EAC Principles for the Observation and Evaluation of Elections.

“As a region, we have a conviction that regional observation is critical to enhancing the credibility of the elections, reinforcing the work of domestic observer groups and enhancing public confidence in the entire electoral process,” he said.

Dr. Mathuki reaffirmed EAC´s commitment to strengthen governance and enhance the culture of democracy as a fundamental principle of the Community.

“The Treaty under Article 6 (d) requires the Partner States to uphold “good governance including adherence to the principles of democracy, the rule of law, accountability, transparency, social justice, equal opportunities, gender equality as well as the recognition, promotion, and protection of human and people’s rights in accordance with the provisions of the African Charter on Human and People’s rights,” said Dr. Mathuki

Source : H.E Jakaya Kikwete launches the EAC Election Observer Mission to the 2022 Kenya General Election

Kenyans! Kenyans! are you insane? Allowing the ruthless dictator to be the what?
Give us a break--- Do you know who is Jakaya? Rigging will not be reported I tell you! DP Ruto you are doomed!!
 
Kenyans! Kenyans! are you insane? Allowing the ruthless dictator to be the what?
Give us a break--- Do you know who is Jakaya? Rigging will not be reported I tell you! DP Ruto you are doomed!!
Do you even know the meaning of a dictator??
Ficha ujinga wako Buda.
 
Back
Top Bottom