Dkt. Kimei: Wachaga wanapenda magendo

Dkt. Kimei: Wachaga wanapenda magendo

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
"Majimbo yaliyo mpakani yanakuwa na changamoto kama magendo, unajua wachaga wanapenda magendo, pia kuna unywaji wa gongo, utumiaji wa mirungi na bangi vimekithiri sana Vunjo sababu watu wengi hawana ajira, nahitaji Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ituambie itachukua hatua gani?" -Dk. Kimei
 
Ndo ukweli Sasa na ndo kazi yake anataka majibu ....hajaongea uongo kabisa
 
We msee ishia hapo hapo iso magendo unazosema ndio zimekufkisha hapo.umesoma kupitia magendo .
Km yuko mchaga duniani sio mangulo nitatembea uchi kuanzia holili hadi himo
Nakazia
 
We msee ishia hapo hapo iso magendo unazosema ndio zimekufkisha hapo.umesoma kupitia magendo .
Km yuko mchaga duniani sio mangulo nitatembea uchi kuanzia holili hadi himo
Yeye mwenyewe kashinda ki magendo.
Refer uchaguzi wa 2020.
 
"Majimbo yaliyo mpakani yanakuwa na changamoto kama magendo, unajua wachaga wanapenda magendo, pia kuna unywaji wa gongo, utumiaji wa mirungi na bangi vimekithiri sana Vunjo sababu watu wengi hawana ajira, nahitaji Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ituambie itachukua hatua gani?" -Dk. Kimei
 
Huyu naye ovyo tu,aache kudhalilisha watu.Kama ubunge umemchosha akae pembeni,yeye ni msemaji wa wachaga? Ovyo kabisa
 
We msee ishia hapo hapo iso magendo unazosema ndio zimekufkisha hapo.umesoma kupitia magendo .
Km yuko mchaga duniani sio mangulo nitatembea uchi kuanzia holili hadi himo
Bila umangulo maisha hayaendi mkuu kwa watu wengi wa kaskazini sio mchaga mpare mmeru au masaii
 
Ingekuwa huo msumari kaugongelea mwingine yeyote asiye wa huko ingekuwa issue.
 
Back
Top Bottom