Dkt. Kimei: Wizara za Kilimo na Viwanda kupewa 6% ya bajeti will never work. Ukusanyaji mapato ni mdogo, au huenda GDP ya Tanzania iko overstated

Dkt. Kimei: Wizara za Kilimo na Viwanda kupewa 6% ya bajeti will never work. Ukusanyaji mapato ni mdogo, au huenda GDP ya Tanzania iko overstated

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Sikilizeni mchango wa Dr.Kimei bungeni.

Kuna mambo hayako sawa katika mikakati yetu ya uchumi.



===
Tunapoangalia mipango hii mara nyingi huwa tunatumia cash budget sasa tukianza kuzungumza mpango kwa kianzia kwenye matumizi kwa kuorodhesha vitu gani tunataka vifanywe mimi naorodhesha kwanza naomba Mungu ajalie kwamba pamoja na mafanikio tuliyopata kule kwenye miondombinu kule kwanza kule Bunju wamesahau wamesahau zile barabara zetu kule Bunju.

Lakini kama tutaorodhesha watu hawaorodheshi the shopping list is huge TARURA inataka pesa TANROAD inataka pesa halafu bado wengine wanasema sijui tujenge na viwanda. Serikali haiwezi kujenga viwanda zaidi Serikali iwezeshe kwenye viwanda vya kimkakati ambavyo tunatakiwa kama Serikali kama vilivyosemwa kwenye hotuba ya Rais hiyo ni ya kuwezesha viwanda vya kimkakati hata kama ikiingia ubia, sera ziwe safi lakini hatuwezi kusema Serikali ikajenge sijui viwanda vya alizeti hatutaweza hivyo.
 
CCM ya Magufuli ni Janga kwa Taifa.

Kwenye kampeni kajaza magari ya gharama kubwa, "viete".

Amewaokota majalalani huko na kawajaza dodoma wanachezea tu kodi zetu, na kupanua midoma Eti LITAKE LISITAKE milele.

Halafu bajet za kilimo ambacho ni uti wa mgongo kwa taifa unatoa 6%. Ya Bajeti.
 
..uwaziri utamchafua.

..bora apige ubunge tu.

..aliyoyasema Dr.Kimei yana UKWELI, serikali iyafanyie kazi.
Anayo 'stamina' ya kutosha?

Vinginevyo atachoka sana na kukata tamaa muda sio mrefu.

Lakini kama anayonguvu ya kutosha, na anayo 'commitment' juu ya anayoyaamini; msimamo huo unaweza kumjenga na kumpa heshima kwa wananchi.

Anaweza kutumia nafasi hiyo kujitambulisha na kujipambanua kuwa ni kiongozi wa kutegemewa.
 
Bunge limejaa akina tale,gwajiboy ,kibajaji kwa hoja nzito kama hiyo anatwanga maji kwenye kinu,ndio maana mtu akiongea jambo la kujenga hawapigi makofi,ila mtu akitupia salam za familia na mwishoni akamalizia ATAKE ASITAKE ATAKAA IKULU MILELE makofi yanapigwa karibu nusu saaa nzima
 
Back
Top Bottom