Dkt. Kitima: Baba Mtakatifu ametutaka tufuate ushauri wa Wanasayansi kuhusu ugunduzi wa chanjo

Dkt. Kitima: Baba Mtakatifu ametutaka tufuate ushauri wa Wanasayansi kuhusu ugunduzi wa chanjo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katibu mkuu wa Baraza la Maaskofu (TEC), Dkt. Charles Kitima akiongea na BBC amesema Baba Mtakatifu ambaye ndio mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francisco amewataka kupokea ushauri wa wanasayansi kuhusiana na ugunduzi wa chanjo za Corona.

Dkt. Kitima amesema wao kama Kanisa watachukua tahadhari kama Mataifa yaliyoendelea yafanyavyo ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa na kunawa mikono.

Fr. Kitima amesema kwa sasa wazee wengi wameacha kuhudhuria ibadani wakihofu maambukizi ya Corona.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia

Maendeleo hayana vyama!
 
Ukifuata wana sayansi kawaida, process ya kuvumbua dawa au chanjo zina chukua muda gani ?
 
Pongezi kwa Kanisa Katoliki kwa kuamua kujitofautisha na wanasiasa maana wanasiasa wetu misimano yao haieleweki, haipo, ipo kidogo, hakuna...

Utadhani Corona imekuwa ugonjwa unaosababishwa na hali ya hewa, ukidhani mvua itanyesha then wingu likitawanyika hainyeshi tena.
 
Corona ni kirusi, ni kweli kipo.

Huyu kirusi ni kweli anashambulia mfumo wa hewa, na akifika kwenye mapafu ndio hali inakuwa mbaya zaidi.

Mwanzo top layer leaders walituambia corona ipo hata kwenye mapapai, kwa mbuzi n.k. Hivyo tusiiogope, lkn tulichukua tahadhari zote kasoro lockdown.

Safari hii tumeibuka na mambo ya chanjo, kwamba wazungu hawana nia nzuri na sisi.

Mimi niwaulize tu watz wenzangu, msimamo wa top layer wetu ni upi hasa, maana naona kuna kujikanganya kwingi.
 
Na nyie ccm endeleeni kuchukua ushauri wa mtakatifu wa Chato. Tusipangiane wa kumheshimu.
Ni miongoni mwa wanasayansi ambao papa ametutaka tusikilize ushauri wao.

Hapo Chadema sidhani kama mna mwanasayansi hata mmoja maana mzee Sumaye na Dr Mollel walisharejea CCM!
 
Back
Top Bottom