johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mungu ni Neno!Nilidhani Mungu ndo kasema
Mungu anasema kupitia roho mtakatifu anayeongoza kanisa kwa viongozi wake!Nilidhani Mungu ndo kasema
Ukifuata wana sayansi kawaida, process ya kuvumbua dawa au chanjo zimefungwa.
Kwani wewe msimamo wako ni upi?Corona ni kirusi, ni kweli kipo.
Huyu kirusi ni kweli anashambulia mfumo wa hewa, na akifika kwenye mapafu ndio hali inakuwa mbaya zaidi...
Ni miongoni mwa wanasayansi ambao papa ametutaka tusikilize ushauri wao.Na nyie ccm endeleeni kuchukua ushauri wa mtakatifu wa Chato. Tusipangiane wa kumheshimu.
Hata Yesu mwana wa Mungu alikula na kunywa na makahaba na walanguziBaba huyu huyu akielike picha Instagram au?
Japo sio kila kiongozi wa kanisa ana Roho Mtakatifu ndani yake.Mungu anasema kupitia roho mtakatifu anayeongoza kanisa kwa viongozi wake!
HahahahaKwani wewe msimamo wako ni upi?
Samahani lakini bwashee!
Hahahaha picha ile pendwa? Hahahaha si ilikanwa sio yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baba huyu huyu akielike picha Instagram au?
Scenario hiyo tofauti na kulike ile picha mkuu. Hivi ile picha unaikuimbuka lakini?Hata Yesu mwana wa Mungu alikula na kunywa na makahaba na walanguzi
Pagani la chattle hili endelea kupiga nyungu tuNilidhani Mungu ndo kasema