dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
Mkuu hasira ya nini, matusi ya nini, jenga hoja.
Kama mtu amekabidhiwa wizara akauza jumba, akikabidhiwa nchi si atauza wilaya na mikoa?
Unajua swala la uuzaji wa Nyumba hii no oda ya rais na si swala la waziri