Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Securelens

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2020
Posts
316
Reaction score
541
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
 
Mshaurini MAGUFULI aanze kujifunza wimbo wa ONE LOVE, wimbo wa ukombozi, nchi inaende kukombolewa

1603334671261.png
 
Kwa utaratibu anaotumia jpm kila sehemu lazima apate hicho kiitwacho nyomi.maana kila aendapo watu husombwa toka maeneo ya pembezoni na kujaza hapo na magari bila kusahau wanafunzi na wafanyakazi wa eneo hilo
Hapo kwa shule nakataa jana masomo yalikua yanaendelea kama kawaida huku kwetu
 
Kilimanjaro wanataka maendeleo na kuingiza pesa na kupata fursa
Ujio wa CHADEMA umewatibulia kila kitu ambacho wali enjoy toka Tanzania ipate uhuru kwenye kila sekta

Kilimanjaro wanasema CHADEMA sio chama cha kawaida ni shetani na pepo lililotoka kuzimu kuja kwaharibia watu watu wa kilimanjaro Tanzania sababu toka lifike Tanzania hakuna sehemu mambo ya watu wa kilimanjaro yanakuwa mazuri iwe maofisini,kwenye biashara nk
Wameapa kutolipa kura hilo shetani tena kama Biblia inavyosema msimpe nafasi ibilisi
 
Sabaya Tapeli katika Ubora wako, tayari ukuu wa mkoa, kwa kazi ya kufunga mashule yalio mengi Kilimanjaro na kuwajaza watoto uwanjani ili kulidanganya Mtupoli.

MaCCM hovyo sana mmechangia pakubwa kuiua CCM ya Magufuli Iliojifia.
 
Back
Top Bottom