Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Watu tupo kuanzia utawala wa baba wa Taifa mpaka leo na hatujawahi kulimia kucha.Kinachowasumbua vijana wa leo ni plan nyingi za kwenye makaratasi,matarajio makubwa ilihali ni wavivu wa kutupwa,mkisoma kidogo mnaona Kuna kazi hamstahili kufanya,aibu na ujanja mwangi,na maisha ya kuigiza kupita kiasi.Hapo ulipo huenda una simu ya 300K Ila bado unalia huna mtaji.

Pambaneni na maisha hakuna mtu atakaewaletea hela mfukoni.
We kula kulala ungekuwa unalima hata mchicha usingeongea ujinga.
 
Watu tupo kuanzia utawala wa baba wa Taifa mpaka leo na hatujawahi kulimia kucha.Kinachowasumbua vijana wa leo ni plan nyingi za kwenye makaratasi,matarajio makubwa ilihali ni wavivu wa kutupwa,mkisoma kidogo mnaona Kuna kazi hamstahili kufanya,aibu na ujanja mwangi,na maisha ya kuigiza kupita kiasi.Hapo ulipo huenda una simu ya 300K Ila bado unalia huna mtaji.

Pambaneni na maisha hakuna mtu atakaewaletea hela mfukoni.

Sera mbovu ndizo uleta umasikini nchini hata ukeshe unajituma.Ungejua mambo ya uchumi ningekupa shule
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo...
Wewe umepata taarifa so haujui unachokisema
Wengine hapa tunakaa moshi ukweli tunaujua tusubili trh 28 ndo utakapo wajua magu alijaza nyomi au wanafunzi
 
We kula kulala ungekuwa unalima hata mchicha usingeongea ujinga.
We unadhani wote tunaishi kwa huo mchicha? We lima mchicha kwakua huo ndo level ya ubongo wako.Ikiwezekana uza na hicho kimeo chako uongezee mtaji kwenye kilimo chako Cha mchicha badala ya kushinda Jf ukilialia kuhusu ugumu wa maisha.
 
Wachaga akili zetu tunazijua tangu 1995 hatujayumba na hatuyumbishwi,hakuna maajabu yoyote yaliyofanyika Kilimanjaro awamu ya 5.Tutamshangaza Jiwe tr28
 
Kaangalie hyo video
Na wewe kaangalie hii video. Huyu mkatili, mbaguzi na mwenye roho mbaya ndio unataka kumpa awamu nyingine. Anawaita Wtanzania wenzake watoto wa kambo huku akitapanya hovyo kodi zao na kula pesa za rambi rambi...

 
Huu msimu shule zingekuwa zinefungwa ccm wange koma.

Magufuli hajaongea na watu wazima tangu aanze kampeni.

Anaogea ni vitoto vya primary, vikiambiwa shangilieni, ni kelele bila kupumzika.
 
Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Brother Sina Hakika sana kama Moshi imechelewa Kushinda Kishapu au Kongwa au Mtera; Brother Moshi Haijawahi kuwa chini ya CCM tangu Vyama vingi vianze, Lakini Kishapu,Mtera,Kongwa pamoja na kuwa chini ya CCM lakini huwezi fanya Comparison na Moshi Mjini. Kwa sasa naishia hapa
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Nileteeni Kigogooooo
Nileteeni Kigogooooooo
Nileteeni Kigogoooooooo
Nileteeni Kigogooooooooooooooooohh!!
 
Back
Top Bottom