Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Wachaga ni watu wanaojitambua ko hawawez fanya upumbavu
 
Kilimanjaro gani unayoisema wewe?
Taja mikoa 6 inayoongozwa na wabunge wa CCM tokea mfumo wa vyama vingi uanze,ambao unaouzidi mkoa wa Kilimanjaro kwa maendeleo.

Acha ubwege wa kusikiliza kwenye Fiesta za CCM,

Tembea uone.
Hayo maendeleo ya Kilimanjaro makubwa yawe ya kielimu, kibinafsi ,kibiashara,kiajira nk yalifanyika kipindi KIlimanjaro iko chini ya CCM

Chadema iliposhika imeleta maendeleo gani kilimanjaro zaidi ya kuwaharibia mambo yao watu wa kilimanjaro popote walipo?

Watu pekee waliofaidi ujio wa CHADEMA ni wabunge wa CHADEMA toka kilimanjaro tu kwa miposho na mifao kibao ya bungeni at the expense ya watu wa kilimanjaro

Ndio maana wengi wanasema CHADEMA ni pepo toka kuzimu lilikuja kuharibu mambo ya watu wa kilimanjaro.Chadema ingekuwa malaika mambo ya watu wa kilimanjaro yangenyooka zaidi.Lakini kwa kuwa ni pepo la giza ndio maana mambo yao yanakuwa giza

Ndio maana safari hii wanasema wataipa kura CCM
CCM iliipa nuru Kilimanjaro ikaifanye ing`are.Chadema imeitia giza
 
Alieleta uzi huu ameshindwa kuambatanisha na kapicha,maana walijaza watoto under 18.
Hawa hapa.
JamiiForums-264498352.jpg
JamiiForums219819290.jpg
JamiiForums-770980498.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo maendeleo ya Kilimanjaro makubwa yawe ya kielimu, kibinafsi ,kibiashara,kiajira nk yalifanyika kipindi Kilimanjaro iko chini ya CCM
Ambayo maendeleo hayo hayakupelekwa Mtera, Kongwa, Buchosa,Kishapu,Maswa, Bukombe; Yaani maendeleo yalifanywa Moshi tuu??
 
🤣🤣🤣 Hebu fanya kazi.
Kwani wakulima wa korosho,kahawa,pamba, wafanyabiashara awafanyi kazi.

Kama Hakuna mzunguko mzuri wa pesa kwenye uchumi utaishia kufanya kazi utavuna kazi na sio matunda ya kazi
 
Ambayo maendeleo hayo hayakupelekwa Mtera, Kongwa, Buchosa,Kishapu,Maswa, Bukombe; Yaani maendeleo yalifanywa Moshi tuu??
WALIYAPELEKA baada ya kupewa fursa na CCM WAKIWA WAMEWEKWA kila sehemu yenye fursa na maeneo ya maamuzi na tenda za serikali kibao

Tuseme waliwezeshana walipowezeshwa na CCM na baada ya kuwezeshana wakapeleka maendeleo kilimanjaro

Siri ilikuwa kuwa chini ya CCM waendelee kuwezeshwa na waendelee kuwezeshana ili waendelee kupeleka maendeleo kilimanjaro,Pepo la kuzimu Chadema hiyo link walikuja wakaikata na panga
 
Sera mbovu ndizo uleta umasikini nchini hata ukeshe unajituma.Ungejua mambo ya uchumi ningekupa shule
Acha kujifanya mjuaji, umewahi fanya Biashara gani ?
Hayo Mambo ya uchumi, Ni uchumi wa makalio Au uchumi gani unazungumzia

Acha kua mjinga
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Tutaona kama propaganda hizi za kipumbavu kabisaaa zitawapigia kura! Miaka 5 yote JPM alionyesha chuki za wazi wazi kwa Wachaga halafu jana bila mshipa wa soni anasema anawapenda sana Wachaga. Ukistajabu ya Polepole kwa MaCCM! Utashangaa ya Magufuli na Wachaga!
 
Siri ilikuwa kuwa chini ya CCM waendelee kuwezeshwa na waendelee kuwezeshana ili waendelee kupeleka maendeleo kilimanjaro
Sawa kabisa, Kwa hiyo Kishapu,Buchosa,Maswa, Kongwa, Mtera Hii Ilikuwa CCM kabla ya Mfumo wa Vyama vingi, Na baada ya Mfumo wa Vyama vingi vikaendelea Kuwa CCM, Yet bado huwezi linganisha naMOshi mjini; Sasa huoni kama kuna tatizo mahali mkuu??;

Kama Ishu ni kuendelea kuwa chini ya CCM ili wawezeshwe; Mbona Maeneo niliyokutajia, Yalikuwa Kabla ya Mfumo wa vyama vingi na Baada ya Mfumo wa Vyama vingi bado yaliendelea kuwa chini ya CCM?

Mimi ninachotaka kusema ni kwamba Siamini kwamba waliwezeshwa watu wa Kilimanjaro tuu peke yao, Yaan maeneo yote Tanzania useme kilimanjaro tuu??
 
Acha kujifanya mjuaji, umewahi fanya Biashara gani ?
Hayo Mambo ya uchumi, Ni uchumi wa makalio Au uchumi gani unazungumzia

Acha kua mjinga
Thus nasema we kula kulala au upo chuoni,mtu yeyeto anaechakarika ameiona Hali halisi tofauti na propaganda.
Kama wwe ni mnufaika wa upigaji dili wa awamu hii ni wachache lkn wengi wanalia na ugumu wa biashara zote unazoziona
 
Sawa kabisa, Kwa hiyo Kishapu,Buchosa,Maswa, Kongwa, Mtera Hii Ilikuwa CCM kabla ya Mfumo wa Vyama vingi, Na baada ya Mfumo wa Vyama vingi vikaendelea Kuwa CCM, Yet bado huwezi linganisha na MOshi mjini; Sasa huoni kama kuna tatizo mahali mkuu??;
Moshi waweza ilinganisha na jiji la mwanza sasa hivi kimaendeleo? MOshi hamna kitu
Au moshi waweza ilinganisha na jiji la ARUSHA kimaendeleo sasa hivi?
Chato tu ina international Airport na hoteli za kitalii

sijui hata unaongelea mambo ya lini
 
Kilimanjaro wanataka maendeleo na kuingiza pesa na kupata fursa
Ujio wa CHADEMA umewatibulia kila kitu ambacho wali enjoy toka Tanzania ipate uhuru kwenye kila sekta

Kilimanjaro wanasema CHADEMA sio chama cha kawaida ni shetani na pepo lililotoka kuzimu kuja kwaharibia watu watu wa kilimanjaro Tanzania sababu toka lifike Tanzania hakuna sehemu mambo ya watu wa kilimanjaro yanakuwa mazuri iwe maofisini,kwenye biashara nk
Wameapa kutolipa kura hilo shetani tena kama Biblia inavyosema msimpe nafasi ibilisi
Kwa mtazamo wa Maccm, Kongwa kwa Ndugayi kumeendelea sana kuliko Hai kwa Mbowe. MaCCM akili zenu zinatosha kumsifia JPM tu. Ndo maana kwa sasa mnakata viuno na uchumi wa Kati wakati hata posho ya book saba hamjaongezewa kuitetea CCM humu.
 
Kwa mtazamo wa Maccm, Kongwa kwa Ndugayi kumeendelea sana kuliko Hai kwa Mbowe. MaCCM akili zenu zinatosha kumsifia JPM tu. Ndo maana kwa sasa mnakata viuno na uchumi wa Kati wakati hata posho ya book saba hamjaongezewa kuitetea CCM humu.
Kwa MBOWE KULIENDELEA kipindi CCM IKO MADARAKANI.Nenda sasa hivi ukaone na waulize wenyeji.Maendeleo yao waliyapata lini watakwambia wakati CCM ipo.WAULIZE SASA HIVI mna CHADEMA hali ikoje watakwambia hata kuwasikia hatutaki kuwasikia
 
Moshi waweza ilinganisha na jiji la mwanza sasa hivi kimaendeleo? MOshi hamna kitu
Au moshi waweza ilinganisha na jiji la ARUSHA kimaendeleo sasa hivi?
Chato tu ina international Airport na hoteli za kitalii

sijui hata unaongelea mambo ya lini
Brother Usihamishe Magoli, Concern yangu ni kwenye Majimbo niliyokwambia hapo; Maana Ukisema Mwanza tayari ilishawahi kuchukuliwa na Upinzani japo mara moja, lakini pia Arusha Ilishawahi kuwa chini ya Upinzani.

Hayo Majimbo niliyokutajia pamoja na kuwa CCM Kabla na Baada ya Mfumo wa Vyama Vingi Compared to Moshi; Kama Ishu ni CCM mwanzo Mwisho je hayo majimbo Kulikoni compared to Moshi.???

Ukisema Mwanza na Arusha ni tofauti na concern niliyoileta hapa.
 
Back
Top Bottom