Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Thus nasema we kula kulala au upo chuoni,mtu yeyeto anaechakarika ameiona Hali halisi tofauti na propaganda.
Kama wwe ni mnufaika wa upigaji dili wa awamu hii ni wachache lkn wengi wanalia na ugumu wa biashara zote unazoziona
Kwan we ndio unaechakalika peke yako tanzania nzima, Mbona unaiona hiy hali wewe tuu

Pesa ipo Mzee
Watu wananunua magari kila leo, Watu wanajaza mabaa kila kona, nk nk

Kwa kukushauri tuu
Endelea kukaa hapo Ukilalamika, kwanzia asubuhi mpk jioni mpk pale utakapo jiona you are totally wrong
 
KILA anapokwenda nyomi lipo...tatizo siyo nyomi,tatizo Hilo nyomi limetokea wapi?same alijaza Sana WATU,lakini wengi waliletwa toka vijijin ndan ya malori kma ng'ombe..JITAFAKARINI SANA,MAANA MNAMDANGANYA MCHANA KWEUPE...NAYE HAJUI KINACHOENDELEA .AU ANAAMUA KUKAZA SHINGO TU

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Chadema hapo Kilimanjaro ilijijenga kwa mtu mmoja mzee Ndesa(R.I.P).Sasa kwa kishindo cha Magufuli jana, ngome mzee wa faru John ipo ndembendembe.Oct 28,ni kuvuna kura tu. Mungu ibariki CCM, Mungu ibariki Tanzania.
 
Brother Usihamishe Magoli, Concern yangu ni kwenye Majimbo niliyokwambia hapo; Maana Ukisema Mwanza tayari ilishawahi kuchukuliwa na Upinzani japo mara moja, lakini pia Arusha Ilishawahi kuwa chini ya Upinzani.

Hayo Majimbo niliyokutajia pamoja na kuwa CCM Kabla na Baada ya Mfumo wa Vyama Vingi Compared to Moshi; Kama Ishu ni CCM mwanzo Mwisho je hayo majimbo Kulikoni compared to Moshi.???

Ukisema Mwanza na Arusha ni tofauti na concern niliyoileta hapa.
Mji wa Moshi waweza linganisha na mji wa DODOMA kimaendeleo? mji wa DODOMA haujawahi kuwa chini ya upinzani
 
KILA anapokwenda nyomi lipo...tatizo siyo nyomi,tatizo ilo nyomi limetokea wapi?same alijaza Sana WATU,lakini wengi waliletwa toka vijijin ndan ya malori kma ng'ombe..JITAFAKARINI SANA,MAANA MNAMDANGANYA MCHANA KWEUPE...NAYE HAJUI KINACHOENDELEA .AU ANAAMUA KUKAZA SHINGO TU

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Chama cha Mbowe, chama cha mfukoni kwisha habari yenu.
 
Chadema hapo Kilimanjaro ilijijenga kwa mtu mmoja mzee Ndesa(R.I.P).Sasa kwa kishindo cha Magufuli jana, ngome mzee wa faru John ipo ndembendembe.Oct 28,ni kuvuna kura tu. Mungu ibariki CCM, Mungu ibariki Tanzania.
Arusha na manyara zilijijenga chini ya mtu mmoja Lowasa na Dk Slaa pia.Tarehe 28 october CCM inaenda shinda kwa kishindo

Zanzibar pia CCM itashinda kwa kishindo kikubwa msikilize Polepole akieleza kitaalamu kabisa alipoulizwa na waandishi wa habari

 
KILA anapokwenda nyomi lipo...tatizo siyo nyomi,tatizo Hilo nyomi limetokea wapi?same alijaza Sana WATU,lakini wengi waliletwa toka vijijin ndan ya malori kma ng'ombe..JITAFAKARINI SANA,MAANA MNAMDANGANYA MCHANA KWEUPE...NAYE HAJUI KINACHOENDELEA .AU ANAAMUA KUKAZA SHINGO TU

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Ndio walitolewa vijijini kwenda kumsikiliza Raisi Maana asingepita kule Vijijini,

Alafu Kwan wewe ulitaka watembea kwa miguu ??
 
Kwan we ndio unaechakalika peke yako tanzania nzima, Mbona unaiona hiy hali wewe tuu

Pesa ipo Mzee
Watu wananunua magari kila leo, Watu wanajaza mabaa kila kona, nk nk

Kwa kukushauri tuu
Endelea kukaa hapo Ukilalamika, kwanzia asubuhi mpk jioni mpk pale utakapo jiona you are totally wrong

Ni wachache wapiga dili au waliokwenye chain ya jiwe and company.
Wanufaika wachache Kama nyie amkosi kwenye tawala zozote dhalimu
 
Elimu bure sio maendeleo ya watu ??

Tuendelee kushikiria mabango pesa hakuna na kulalamila, itatusaidia sana
Ukisomesha watu namba hizi falsafa za kikomunisti lengo ni kuwafanya watu wawe masikini ili watawaliwe,maana Hakuna mkomunisti au mjamaa mwenye confidence ya kuongoza wasomi na matajiri ni lzm awafanye wawe masikini.
Kwa sera hizi hio pesa zitoke wapi
 
Mji wa Moshi waweza linganisha na mji wa DODOMA kimaendeleo? mji wa DODOMA haujawahi kuwa chini ya upinzani
Brother Dodoma ni Jiji hivyo bado sio Valid Sample, Lakini pia hayo mambo yameanza dodma heavily miaka ya 2010; Unataka kusema kwamba baada ya Kupeleka Moshi in 90's wamekaa, na Kuamua Kupeleka Dodoma Juzijuzi? Moshi sio Jiji, ni wilaya tuu.
 
Ni wachache wapiga dili au waliokwenye chain ya jiwe and company.
Wanufaika wachache Kama nyie amkosi kwenye tawala zozote dhalimu
Kama unaona ni madili Nenda na wewe kapige dili Mzee,

Sitaacha kukushauri Malalamiko + Negative Mind hayajawah kuwa na Msaada katika mchakato wa maendele yoyote individualy mpk national level

Jitahidi kulalamika Sana Kuwaza mabaya sana itakusaidia
 
Kwa Sababu Mkuu wa Nchi alikua na mkutano na wananchi wa maeneo yale, unasemaje ?
Ya nn kuwanyima haki wanafunzi ya kukosa vipindi Hali si wapiga kura.toka lini mgombea akawa mkuu wa nchi
 
Kama unaona ni madili Nenda na wewe kapige dili Mzee,

Sitaacha kukushauri Malalamiko + Negative Mind hayajawah kuwa na Msaada katika mchakato wa maendele yoyote individualy mpk national level

Jitahidi kulalamika Sana Kuwaza mabaya sana itakusaidia
Nipe connection ya kupiga dili hata ya kuandaa kongamano la kusifia tu ili nipunguze makali mkuu
 
Kwa Sababu Mkuu wa Nchi alikua na mkutano na wananchi wa maeneo yale, unasemaje ?
Leo Arusha ofisi za Serikali hakuna kazi magari ya Serikali yanawekwa mafuta kwenda kiwanjani kuhudhuria shughuli za Chama, tutaacha kweli kushindia mizizi?.
 
Back
Top Bottom