Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Elimu bure sio maendeleo ya watu ??

Tuendelee kushikiria mabango pesa hakuna na kulalamila, itatusaidia sana
Hakika mkuu,ngoja tuendelee kuendesha ma V8 yetu.
EkjOyBlX0AEyvSk.jpg
 
Mleta mada usidanganywe! wachaga wanajielewa sana, kwanza wameumizwa sana sana na utawala huu kuliko tawala zote!
 
Mleta mada kila siku njoo uchukue pesa ya kula lakini usiandike ukhanithi kwasababu ya njaa zako.!
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Moshi ni chuo cha siasa ndugu.Usijidanganye.
 
Kwan ni sehemu gani jpm alienda akakosa nyomi, jitafakari
Aende bila ya Diamond na Ali Kiba aone aibu itakayo mkuta

Kule watu wanaenda kucheza JeJe ya Diamond na Mediocre Ali Kiba sio kumsikiliza Magu anaemtaka nani?

Julize watu ni walewale kwa Lissu wanafuata nini kama sio kupata shule na kujifunza sera ? Kule kwa Lissu hamna JEJE wala Konde Boy kule kuna sera bora kwa maisha bora

#NI YEYE 2020

#NI YEYE 2020
 
Ya nn kuwanyima haki wanafunzi ya kukosa vipindi Hali si wapiga kura.toka lini mgombea akawa mkuu wa nchi
Kwan sasa hivi nchi haina raisi ?
Kama inae ni Nani ?

Kikatiba Raisi anayo Mamlaka ya kuamua Jambo Lolote, ikiweno kuwaruhu wanafunzi
 
Nipe connection ya kupiga dili hata ya kuandaa kongamano la kusifia tu ili nipunguze makali mkuu
Wapiga Dili hawana akili za kulalamiko, badilika kwanza ndio upewe madili

Kwa kukusaidia
Kuna uwekezaji kwnye vitaru vya Madini mererani
 
..hadanganyiki mtu .kote huko ni mwendo wa kuzoa watu na mabasi na kufunga shule na shughuli za maofisini ili watu waende kujaza uwanja....hata leo atakua leganga arusha waalimu wote wa arumeru wameambiwa wahudhurie..na wataandikwa majina...na kesho atakua sheikh amri abeid arusha ..nako tayari waraka umetumwa wa kuwaambia watumishi wote wahudhurie mkutano huo bila kukosa na usafiri utatolewa...hii yote ili kujaza uwanja...
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Sasa ni dhahiri JPM atashinda kwa kishindo, hata Aljazeera wamenukuu

Incumbent John Magufuli is widely expected to win re-election despite the recent return to Tanzania of main opposition challenger Tundu Lissu, who took exile in Belgium after suffering 16 bullet wounds when he was shot by unknown assailants in 2017. Endelea ......
Opposition complains of repression as Tanzania heads to the polls
cc Erythrocyte Salary Slip Retired owomkyalo
 
Sasa ni dhahiri JPM atashinda kwa kishindo, hata Aljazeera wamenukuu

Incumbent John Magufuli is widely expected to win re-election despite the recent return to Tanzania of main opposition challenger Tundu Lissu, who took exile in Belgium after suffering 16 bullet wounds when he was shot by unknown assailants in 2017. Endelea ......
Opposition complains of repression as Tanzania heads to the polls
cc Erythrocyte Salary Slip Retired owomkyalo
Umedanganyika kibwege sana !
 
Wapiga Dili hawana akili za kulalamiko, badilika kwanza ndio upewe madili

Kwa kukusaidia
Kuna uwekezaji kwnye vitaru vya Madini mererani
Sera zinapokuwa bora si lzm wote wawekeze kwenye madini
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
Hana huo ubavu hata. Ungesema Chatco ningelikuelewa
 
Back
Top Bottom