Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

Kilimanjaro wanataka maendeleo na kuingiza pesa na kupata fursa
Ujio wa CHADEMA umewatibulia kila kitu ambacho wali enjoy toka Tanzania ipate uhuru kwenye kila sekta

Kilimanjaro wanasema CHADEMA sio chama cha kawaida ni shetani na peopo lililotoka kuzimu kuja kwaharibia watu watu wa kilimanjaro Tanzania sababu toka lifike Tanzania hakuna sehemu mambo ya watu wa kilimanjaro yanakuwa mazuri iwe maofisini,kwenye biashara nk
Wameapa kutolipa kura hilo shetani tena kama Biblia inavyosema msimpe nafasi ibilisi
Wewe si wa Kilimanjaro.Huku tuna mnaendelea mpaka ya ubungo.Wa kutugeuza Kilimanjaro hayupo.Kura ni kwa mtu anayejali haji.Ss tulishaendelea .Kwa HERUFI KUBWA," NI TUNDU LISSU TU".NI YEYE 2020.
 
Kwa utaratibu anaotumia jpm kila sehemu lazima apate hicho kiitwacho nyomi.maana kila aendapo watu husombwa toka maeneo ya pembezoni na kujaza hapo na magari bila kusahau wanafunzi na wafanyakazi wa eneo hilo
Mkuu wakishawaleta uwanjani wanawawekea vizimba hawatoki hii inawasaidia kujua kila kikundi kama ni wanavyuo wanatengwa sehemu yao kama ni mataga wanatengwa sehemu yao n.k! Pili wanawekewa viti sasa upo kwenye kiti utacheza kweli ule wimbo wa one love!?.
 
Mmm sanaa yenu ya kusafirisha watu ili mdanganye umma mbona iliishajulikana?? Sasa na kujisifia kwote uku lkn uyo JPM wako ukweli wakutokubalika anaujua ndio maana anaiogopa tume huru balaa.
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea.

Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa kwenye mkoa huo.

Hii ni ishara ya wazi kuwa atapata kura za kishindo mkoa wa Kilimanjaro katika uchaguzi wa wiki ijayo.

Kwa mujibu wa taarifa hizo za uhakika ndani ya mkoa huo, kuna uwezekano mkubwa Chadema kwa mwaka huu isipate hata Mbunge mmoja katika mkoa wa Kilimanjaro. Ni kutokana na maji kuwa shingoni ndiyo maana Mbowe hajapata hata nafasi ya kuungana na Lissu kwenye kampeni. Yeye mwenyewe amesikika akisema mara nyingi kuwa anapambana na hali yake.

Taarifa za kiuchunguzi zinaeleza kuwa Chadema inatarajia kupata madiwani tu wachache kwenye mkoa huo.

Hongereni wanakilimanjaro kwa kuamua kupanda train la maendeleo na kusafiri na JPM. Chadema imewachelewesha sana. Mmefanya uamuzi Bora wa kwenda na JPM
 
Mikoa yote Magufuli amejaza nyomi ambazo hazina uhalali pale mwanzo uvccm walijaribu kuzihalalisha hizo nyomi tukazikataa wenzako waliacha kupost hizo nyomi unazosema wameshajua huo mpango umeshafeli sijui wew unakwama wapi
 
Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea....

Jaman jaman kalamu zenu mtumie vizuri sisi ambao tuko huku ndio tumeshuhudia sio kuhadithiwa kma kubeba watu kutoka wilayan na mabas kuanzia same,mwanga na boma nk nikujaza nyomi ya watu na kubomoa ngome bas mmebomoa kweli kweli Kabla hamjaandika fanyeni utafiti au ulizeni ndugu jamaa n marafiki wanaoishi sehemu husika .
 
Jaman jaman kalamu zenu mtumie vizuri sisi ambao tuko huku ndio tumeshuhudia sio kuhadithiwa kma kubeba watu kutoka wilayan na mabas kuanzia same,mwanga na boma nk nikujaza nyomi ya watu na kubomoa ngome bas mmebomoa kweli kweli Kabla hamjaandika fanyeni utafiti au ulizeni ndugu jamaa n marafiki wanaoishi sehemu husika .
Wanafanya propaganda tu hawa wahuni, wanajua mtu wao kashakataliwa na umma
 
sawa ni watz, ila vyama vingne haviendi mikutanoni na wasanii na bado vinapata nyomi...thubutuni na nyie muone.
Zile hela za michango ya wabung alizochukua bwana Mugabe wa CHADEMA zingetosha sana kulipia wasanii ila ndio hivyo kiendacho kwa mganga hakirudi.
 
Kwa heri Chadema, usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa
 
Jaman jaman kalamu zenu mtumie vizuri sisi ambao tuko huku ndio tumeshuhudia sio kuhadithiwa kma kubeba watu kutoka wilayan na mabas kuanzia same,mwanga na boma nk nikujaza nyomi ya watu na kubomoa ngome bas mmebomoa kweli kweli Kabla hamjaandika fanyeni utafiti au ulizeni ndugu jamaa n marafiki wanaoishi sehemu husika .
Tupostie basi hizo clips za mabasi yaliyo kuwa yakisonba watu na kuwaleta lwenye mkutano.
 
Kilimanjaro wanataka maendeleo na kuingiza pesa na kupata fursa
Ujio wa CHADEMA umewatibulia kila kitu ambacho wali enjoy toka Tanzania ipate uhuru kwenye kila sekta

Kilimanjaro wanasema CHADEMA sio chama cha kawaida ni shetani na peopo lililotoka kuzimu kuja kwaharibia watu watu wa kilimanjaro Tanzania sababu toka lifike Tanzania hakuna sehemu mambo ya watu wa kilimanjaro yanakuwa mazuri iwe maofisini,kwenye biashara nk
Wameapa kutolipa kura hilo shetani tena kama Biblia inavyosema msimpe nafasi ibilisi
Kilimanjaro gani unayoisema wewe?
Taja mikoa 6 inayoongozwa na wabunge wa CCM tokea mfumo wa vyama vingi uanze,ambao unaouzidi mkoa wa Kilimanjaro kwa maendeleo.

Acha ubwege wa kusikiliza kwenye Fiesta za CCM,

Tembea uone.
 
Watz awajui hatari ya kurudia tena makosa, safari hii watalimia kucha, sababu atohitaji kura zao Tena
Watu tupo kuanzia utawala wa baba wa Taifa mpaka leo na hatujawahi kulimia kucha.Kinachowasumbua vijana wa leo ni plan nyingi za kwenye makaratasi,matarajio makubwa ilihali ni wavivu wa kutupwa,mkisoma kidogo mnaona Kuna kazi hamstahili kufanya,aibu na ujanja mwangi,na maisha ya kuigiza kupita kiasi.Hapo ulipo huenda una simu ya 300K Ila bado unalia huna mtaji.

Pambaneni na maisha hakuna mtu atakaewaletea hela mfukoni.
 
Back
Top Bottom