Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli akiwa Misungwi; Nimebaki mimi tu kwa sababu hamnipendi, hamjanipitisha bila kupingwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli akiwa Misungwi; Nimebaki mimi tu kwa sababu hamnipendi, hamjanipitisha bila kupingwa

Nimebaki mimi tu kwa sababu hamnipendi, hamjanipitisha bila kupingwa, wangapi mtanipitisha bila Kupingwa? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]

Alizoea huko Chatto kupita bila kupingwa hivyo muda wake wote alikuwa anaota kuwa pengine hata URAIS atapita bila kutoa jasho!! Alifanikiwa kuwahonga wakina Cheyo na Mrema, waunga mkono juhudi kwa njaa zao lakini wazalendo wa kweli walikataa rushwa yake na kumpinga!!!!
 
Huyu JPM amepita hapa Misungwi hapa mkoani mwanza akionekana kufurahia utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa. Amesikika akisema "Najua hapa wameshapata bila kupingwa na najua kuna mapingamizi NEC, labda kwa sehemu ziingine lakini hapa wameshapata bia kupingwa"

Huyu anayeongea haya ndiye Mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi,huyu ndiye Mteuzi wa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na makamishna wake. Kwanini huyu bwana anataka kutupeleka siko? Yeye ndiye anayeagiza watu waenguliwe wapite bila kupingwa?
Kuenguliwa zaidi ya wagombea 100 wa ubunge na wagombea udiwani zaidi ya kata 1000 kwa vyama vya upinzani kuna mkono wa huyu bwana?

Kwanini mtu wa aina hii ndiye anapewa nafasi ya kua kiongozi mkubwa? Kwanini taifa letu tunataka kutolewa nje ya mstari na mtu mmoja?
 
Huyu JPM amepita hapa Misungwi hapa mkoani mwanza akionekana kufurahia utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa. Amesikika akisema "Najua hapa wameshapata bila kupingwa na najua kuna mapingamizi NEC, labda kwa sehemu ziingine lakini hapa wameshapata bia kupingwa"

Huyu anayeongea haya ndiye Mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi,huyu ndiye Mteuzi wa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na makamishna wake. Kwanini huyu bwana anataka kutupeleka siko? Yeye ndiye anayeagiza watu waenguliwe wapite bila kupingwa?
Kuenguliwa zaidi ya wagombea 100 wa ubunge na wagombea udiwani zaidi ya kata 1000 kwa vyama vya upinzani kuna mkono wa huyu bwana?

Kwanini mtu wa aina hii ndiye anapewa nafasi ya kua kiongozi mkubwa? Kwanini taifa letu tunataka kutolewa nje ya mstari na mtu mmoja?
Kwanini mtu wa aina hii ndiye anapewa nafasi ya kua kiongozi mkubwa? Kwanini taifa letu tunataka kutolewa nje ya mstari na mtu mmoja? [emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Huyu JPM amepita hapa Misungwi hapa mkoani mwanza akionekana kufurahia utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa. Amesikika akisema "Najua hapa wameshapata bila kupingwa na najua kuna mapingamizi NEC, labda kwa sehemu ziingine lakini hapa wameshapata bia kupingwa"

Huyu anayeongea haya ndiye Mteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi,huyu ndiye Mteuzi wa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi na makamishna wake. Kwanini huyu bwana anataka kutupeleka siko? Yeye ndiye anayeagiza watu waenguliwe wapite bila kupingwa?
Kuenguliwa zaidi ya wagombea 100 wa ubunge na wagombea udiwani zaidi ya kata 1000 kwa vyama vya upinzani kuna mkono wa huyu bwana?

Kwanini mtu wa aina hii ndiye anapewa nafasi ya kua kiongozi mkubwa? Kwanini taifa letu tunataka kutolewa nje ya mstari na mtu mmoja?

Kwa hiyo yeye ndio anapanga wakosee kujaza fomu ?
 
Hii itakusaidia upate mkate wa kula na wanao
 
Huyu JPM amepita hapa Misungwi hapa mkoani mwanza akionekana kufurahia utaratibu wa wagombea kupita bila kupingwa. Amesikika akisema "Najua hapa wameshapata bila kupingwa na najua kuna mapingamizi NEC, labda kwa sehemu ziingine lakini hapa wameshapata bia kupingwa"....
Hizi statement zote tunazikusanya kama ushahidi. Wanatuona watanzania mazezeta sana
 
Tume ya uchaguzi sio huru.

Polisi wapo upande wao.

Cha msingi Ni kuwa makini na matokeo ya uchaguzi ktk kuhesabu na yatakayo tangazwa...
 
Mi naomba ieleweke tu mnapowaengua wagombea kwa makosa ya kimitego mnawanyima haki wananchi na sio mgombea,hata kama kuna sababu kubwa za kuenguliwa mgombea ni lazima abadilishwe mgombea na kuwekwa mwengine wa chama husika.
 
Tumeshiriki uchaguzi wa vyama vingi tangu 1995 lakini hatujawahi kushuhudia uharamia huu wa kisiasa unaofanyika katika awamu hii, haihitaji elimu kubwa kubaini ni nani mwasisi wa uharamia huu.
tapatalk_1570969607928.jpg
 
Dkt. Magufuli amewasihi wananchi kutobaguana kwa misingi ya chama cha siasa, dini au kabila kwa mustakabali mwema wa taifa letu.


Kadhalika Dkt. Magufuli amewataka wanamisungwi kuchagua Rais, mbunge na diwani kutoka CCM ili waendeleze maendeleo yaliyo katika ilani ya uchaguzi.

astopishwe kufanya kampeni wakampime akili.
 
Back
Top Bottom