Nenda kamuulize Gaddafi huko aliko yaliyomkuta!Alijiamini zaidi ya weww na hao unaowaabudu kama Mungu wako wa pili!Alitesa na kuua raia na vitisho juu,lakini watu walipochoka ndio hapo hata maadui wakaweza kutumia mwanya huo kuwapenyezea silaha walioasi!
Hilo ni funzo, kama Gaddafi amgekuwa anawatendea haki raia wake basi wasingekubali kutumika!
Hapa nchini zikianza choko choko,kuna watu wakipenyezewa silaha basi wanaweza kuwa tayari kuasi!
Tunayasema haya ili mjifunze na msijeifikisha nchi kubaya!Mnaodanganyana huko mliko mnaona mzaha tu!Hata mbuyu ulianza kama mchicha!
Pandikozeni chuki na matokeo ya chuki hizo mtaziona siku moja!