Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli anatakiwa ajue kuwa Kampeni ni kujishusha, sio kufokea na kuwatisha wapiga kura

Nimeona post moja anasema atapita tu hata watu wasipompigia kura, kwa kweli magu hatambui nguvu ya umma inaweza kufanya nini, tusubiri.
Anajua nguvu ya umma wa kibongo ni boya tu, wakitishiwa kipigo cha mbwa koko wanaufyata.
 
Kinatakacho cost CCM ni mgawanyiko. Kuna ambao hawakurahishwa na jinsi walivyokata majina yao. Asbh ni CCM jion upinzani. Hilo Bashiru kaliona ndo maana analalama.
 
Anajua nguvu ya umma wa kibongo ni boya tu, wakitishiwa kipigo cha mbwa koko wanaufyata.
Zama zimebadilika Nani wa kutisha hao watishaji ndo wamechoka balaa hawana hamu 5yrs bila bila.Walaumu upole wa wananchi ndo uwaangusha
 
Mkuu wewe si ni mfuasi wa Lissu? Si ungekuwa unafurahi kwamba anapoteza kura na Lissu anaongeza? Au machale yamekucheza kuwa Magufuli anaongea kwa kujiamini as a real President!!??
 
"Watanzania ,Wana cm tungane pamoja tarehe 28 oct, tuna Jambo letu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…