Sisi watumishi tutamchagua Magufuli tena kwa kishindo.Atapigiwa kura na bombardier na flyover. Habari ya mjini kwa Sasa ni Tundu Lissu.
Lissu atachaguliwa na waliofaidika na ufisadi na mnyororo wa ufisadi ambao na wale wa vya BURE SYNDROME.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi watumishi tutamchagua Magufuli tena kwa kishindo.Atapigiwa kura na bombardier na flyover. Habari ya mjini kwa Sasa ni Tundu Lissu.
Watumishi wa kazi za nyumbani (wadada wa kazi weupe kama wewe).Sisi watumishi tutamchagua Magufuli tena kwa kishindo.
Lissu atachaguliwa na waliofaidika na ufisadi na mnyororo wa ufisadi ambao na wale wa vya BURE SYNDROME.
No hate no fear
Kila mtu ana kadi yake ya mpiga kura... haya maelezo yote ya kazi gani?Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Umeandika kwa maumivu kweli. Pole.Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Atuambie kwanza Ben Saanane alipoAmini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Jinga kabisa kwaiyo na wewe unasubiria uteuzi hewa kutoka kwa kiduku.utachaguliwa na walamba viatu kama wewe na wengine wanaovizia teuzi.
Wanaomchukia JPM nu wenye tamaa, na waroho wa madaraka. Idadi kubwa ya watanzania kura zetu ni kwa Magufuli.
Mnaenda Brussels bila shaka.Tunakwenda na Tundu Lissu