Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.




MAGUFULI4LIFE.
Unampenda wewe lakini ukimuuliza mumeo na wanao wana mawazo tofauti kabisa.
 
Watanzania kwa umojawetu tutamchagua JPM kipenzi chetu.
 
Atapigiwa kura na bombardier na flyover. Habari ya mjini kwa Sasa ni Tundu Lissu.
Hahahahaaaa mirija imekatwaa
Tutamchagua kwa kishindo kikunwa Sana 98 percent NI za Magu
Huyo kibaraoa wenuu atapata 1percent
 
Back
Top Bottom