Kuaribu mali zawatu unaitwa uzalendo kilakitu tumefeli watz bana eti uzalendoHakuna namna Mkuu kura yako ni muhimu tafadhali October 28th kura zote za ndio ni kwa Mzalendo wa kweli JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuaribu mali zawatu unaitwa uzalendo kilakitu tumefeli watz bana eti uzalendoHakuna namna Mkuu kura yako ni muhimu tafadhali October 28th kura zote za ndio ni kwa Mzalendo wa kweli JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Na hapa tutampa Dhulumat mkubwa huyu ana roho mbaya hadi amepata ungonjwa wa moyoMajibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Kama imeshindwa kuyaleta hayo Maendeleo toka uhuru, kipi kikufanye udhani ataweza kwa hii miaka mitano ijayo?Wazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
AiseeeUsipate tabu hii hapa bossView attachment 1601694
Hakuna namna Mkuu kura yako ni muhimu tafadhali October 28th kura zote za ndio ni kwa Mzalendo wa kweli JPM.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Unatumia nguvu kubwa kuandika kiingereza mpaka unashindwa kuweka koma ama nukta!Magufuli will win this election with very many votes because Tundu Lissu supports gays we are not ready to have a president like Tundu Lissu maybe he can go to to be president maybe in Belgium but not here
Unampenda wewe lakini ukimuuliza mumeo na wanao wana mawazo tofauti kabisa.Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Anazo labda mbili...ya kwako johnthebaptist na ya Pascal Mayalla. Ya kwangu aliikosa toka 2015 mara tu baada ya kuapishwa!Kura yangu tayari anayo bwashee!
Amepata asiwe na hofuMajibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Kishindo peleka kwa mkeoWazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Magufuli betry LowSi walisema twitter hakuna wapiga kura! Hatutaki kuongozwa kama mifugo! Lissu ndio habari ya mujini
Hahahahaaaa mirija imekatwaaAtapigiwa kura na bombardier na flyover. Habari ya mjini kwa Sasa ni Tundu Lissu.
Who's he?Wewe peleka kwa Amsterdam