Stanley jh
New Member
- Oct 6, 2020
- 4
- 0
Atapita Tena kwa kishindo kikubwa mnoMajibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atapita Tena kwa kishindo kikubwa mnoMajibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
KabisaaAmini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Namuelewa Magu ila Statement ya kwamba hatapeleka maendeleo kwenye majimbo ya Upinzani, inamuondolea uzalendo ambao umeusema hapo; Sina hakika kama unamjua mtu Mzalendo vizuri.Mzalendo wa kweli JPM
Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Twitter kuna watanzania wangapi mpaka uone kama wanawakilisha watanzania? Tumia akili wewe bwegeMajibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
JPM 4life amekuwa mmeo huyoAmini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Kishindo apeleke kwa janetiAtapita Tena kwa kishindo kikubwa mno
Hata upande wa pili pia ni wazalendo na wanataka maendeleo lakini pia wanataka HAKI na UHURU. Hawa kura zao ni kwa Tundu Lissu. MITANO KWANZA.Wazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Repent first!! Who shot Lissu??Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Sasa yeye huyo mtu wenu kafuata nini huko Twitter kuomba kura?Twitter kuna watanzania wangapi mpaka uone kama wanawakilisha watanzania? Tumia akili wewe bwege
Yaani nimecheka hahaha yaani tunamchukia at the same time tunampenda sana duhh hii mpyaAmini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Kuomba kura twitter ni kosa ulimwengu wa kidigital? Ishu ni kuanza kuanza kuchukua majibu kama ndio ushahidi hapendwi. Tumia akili mwanaCdm mwenzanguSasa yeye huyo mtu wenu kafuata nini huko Twitter kuomba kura?