beberu la mtaa
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 276
- 467
Wazalendo wa CCM sio TanzaniaWazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazalendo wa CCM sio TanzaniaWazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
YEHODAYAMATAGA mkuje mtuambie tangu lini kwenye mitandao kumekuwa na wapiga kura? Kila siku mnasema JF, Tweeter, Fb hakuna wapiga kura kuna wapiga kelele!?
Wala sio kwa wizi ni kura nyingi sana tutampigia Mzalendo mwenzetu JPM.Labda kwa wizi Kama kawaida yenu
Wazalendo wa nchi ya Tanzania.Wazalendo wa CCM sio Tanzania
Wapi kasema wa mtandaoni wa mpigie kura kwenye hilo tangazo?MATAGA mkuje mtuambie tangu lini kwenye mitandao kumekuwa na wapiga kura? Kila siku mnasema JF, Tweeter, Fb hakuna wapiga kura kuna wapiga kelele!?
Kabanwa vibaya
Thanks Thanks Kaka...JPM for every One..hawataki bas wahame inchi.Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
I'll agree with you if and only if this Election won't be FREE&FARE...!!!Whatever the case,Magufuli will be entering the palace any time after the so called election.
Keep dreaming.I'll agree with you if and only if this Election won't be FREE&FARE...!!!
If that is the case..."Whatever the case..." Just quoting thy words....!!!
Consequences are there to be faced by Magufuli and his party CCM!!! Stay tuned✌️✌️✌️
😂😂😂😂Ikifika tarehe 27 nalala usingizi mzito niamke tarehe 29 niendelee na mishe zangu . Ifike mahali kila
mtu awe na uhuru wa kweli wa kufanya maamuzi yake binafsi bila kuombwa wala kulazimishwa. Siwapendi wagombea wote wa awamu hii 🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽
😳😳 Wote?Ikifika tarehe 27 nalala usingizi mzito niamke tarehe 29 niendelee na mishe zangu . Ifike mahali kila
mtu awe na uhuru wa kweli wa kufanya maamuzi yake binafsi bila kuombwa wala kulazimishwa. Siwapendi wagombea wote wa awamu hii 🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽
Kamanda mwenzangu acha kujifariji.Kabanwa vibaya
Majibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Mimi kamanda mwenye akili nampigia JPMJPM umeshapata mitano tena.
Kifupi ni kuwa jiwe hakubaliki na hafai kuwa Rais, yaani hii miaka mitano imekuwa michungu kwa kila kundi katika jamiiAmini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Wote kwa kweli 😂😂😳😳 Wote?
Ni sawa tu kima mwenzangu naona wee usharudi toka huko 😂😂😂Kaishi mbinguni kima we
Hatudanganyiki kwa propaganda ya Libya,Iraq,Misri,Burundi,DRC nk.Tunataka Uhuru, Haki na Maendeleo endelevu kwa wote.Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.