Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

MATAGA mkuje mtuambie tangu lini kwenye mitandao kumekuwa na wapiga kura? Kila siku mnasema JF, Tweeter, Fb hakuna wapiga kura kuna wapiga kelele!?
Wapi kasema wa mtandaoni wa mpigie kura kwenye hilo tangazo?

Tangazo waweza liweka popote kwenye mti,kwenye ukuta,Kwenye Gazeti,FACEBOOK,TWITTER au popote.

Yeye kabandika Tangazo
 
Kabanwa vibaya
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.




MAGUFULI4LIFE.
Thanks Thanks Kaka...JPM for every One..hawataki bas wahame inchi.
 
Whatever the case,Magufuli will be entering the palace any time after the so called election.
I'll agree with you if and only if this Election won't be FREE&FARE...!!!
If that is the case..."Whatever the case..." Just quoting thy words....!!!
Consequences are there to be faced by Magufuli and his party CCM!!! Stay tuned✌️✌️✌️
 
Ikifika tarehe 27 nalala usingizi mzito niamke tarehe 29 niendelee na mishe zangu . Ifike mahali kila
mtu awe na uhuru wa kweli wa kufanya maamuzi yake binafsi bila kuombwa wala kulazimishwa. Siwapendi wagombea wote wa awamu hii 🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽
 
I'll agree with you if and only if this Election won't be FREE&FARE...!!!
If that is the case..."Whatever the case..." Just quoting thy words....!!!
Consequences are there to be faced by Magufuli and his party CCM!!! Stay tuned✌️✌️✌️
Keep dreaming.
 
Ikifika tarehe 27 nalala usingizi mzito niamke tarehe 29 niendelee na mishe zangu . Ifike mahali kila
mtu awe na uhuru wa kweli wa kufanya maamuzi yake binafsi bila kuombwa wala kulazimishwa. Siwapendi wagombea wote wa awamu hii 🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽
😂😂😂😂
 
Ikifika tarehe 27 nalala usingizi mzito niamke tarehe 29 niendelee na mishe zangu . Ifike mahali kila
mtu awe na uhuru wa kweli wa kufanya maamuzi yake binafsi bila kuombwa wala kulazimishwa. Siwapendi wagombea wote wa awamu hii 🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽🙅🏽
😳😳 Wote?
 
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.




MAGUFULI4LIFE.
Kifupi ni kuwa jiwe hakubaliki na hafai kuwa Rais, yaani hii miaka mitano imekuwa michungu kwa kila kundi katika jamii

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.




MAGUFULI4LIFE.
Hatudanganyiki kwa propaganda ya Libya,Iraq,Misri,Burundi,DRC nk.Tunataka Uhuru, Haki na Maendeleo endelevu kwa wote.
 
Back
Top Bottom