Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Alidanganywa na pole×2Huyu Baba la baba si alisema hata fanya kampeni? Leo amekuwa wa kuomba kura mtandaoni??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alidanganywa na pole×2Huyu Baba la baba si alisema hata fanya kampeni? Leo amekuwa wa kuomba kura mtandaoni??
Wagombea wote wana kasoro zao.Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.
MAGUFULI4LIFE.
Nimeangalia comments kwenye hii video ,, siku ile alidissapoint watu wengi ambao walikuwa na matarajio nae.
Kuna watanzania milioni 23.69 wewe kengeTwitter kuna watanzania wangapi mpaka uone kama wanawakilisha watanzania? Tumia akili wewe bwege
Kaambulia matusi, nimecheka leo mpaka basi, kama atakua amesoma zile replies basi naamini leo atarudishwa gereji kwenye matengenezoMajibu aliyopewa sasa kule Twitter ndiyo utajua ni kiasi gani huyu anachukiwa.
View attachment 1601637
Hahaha bila kusahau stigila gojiAtapigiwa kura na bombardier na flyover. Habari ya mjini kwa Sasa ni Tundu Lissu.
Nashangaa leo kaibukia huko, ila spana kazipataSi walisema twitter hakuna wapiga kura! Hatutaki kuongozwa kama mifugo! Lissu ndio habari ya mujini
Halafu hayo majimbo ya upinzani kwani hayana wana ccm huko?Namuelewa Magu ila Statement ya kwamba hatapeleka maendeleo kwenye majimbo ya Upinzani, inamuondolea uzalendo ambao umeusema hapo; Sina hakika kama unamjua mtu Mzalendo vizuri.
Kabisa Mkuu; Ijapokuwa kauli zake ni za kisiasa hazina Madhara ya Moja kwa moja; Moshi na Karatu ni Sample ya Majimbo ambayo Tangu Mfumo wa vyama vingi uanze Hayajawahi kuchukuliwa na CCM;Haoni kuwa anakuwa anawakomoa hata ccm wenzake wanaoishi kwenye majimbo hayo?
Mkuu mimi najua unachangansha jukwaa tuu hapa nani asiyetaka kuona Mzalendo JPM akiongoza nchi hii ili kuchochea kasi ya MAENDELEO.Kama utabahatika uibe kadi yangu ndio Pombe atapata kura yangu.
Mihemko ya NYAKWENYU.
Poyoyo mbona unapopoma sana? Tulia wacha kupaniki, Sasa Hutaki akaombe kura Mtwara?Kinachowatesa nyie ni kufikiria mambo yataendeshwa kwa mazoea tena. Inajulikana wako maadui wa ndani na nje ya Taifa la Tanzania. Maadui wa ndani wanao mamluki wao kwenye mifumo ya uendeshaji nchi bila kwenda kwa chenga za mwili huwezi fika. Vita ya ndani ndivyo inavopiganwa hivyo.
JPM aliye kwenda kumzika Mkapa wakati wa kurudi akatembea kwa Miguu kuvuka daraja la Mkapa na akapokea zawadi ya jogoo Mkiru, akatumbua wakutumbuliwa. Ndio unaleta propoganda zako za kilaghai hapa eti anaogopa.
Kwani mlipanga kufanya nini akiwa anafanya kampeni huko Kusini apaka ikuume hivi kwa yeye kutoenda mikoa ya kusini?
Wezi na Mafisadi waliozalishwa Tanzania awamu hasa za 3 na 4 mmegeuka kuwa maadui wa Taifa hili kwa kujitahidi kukwamisha serikali ya awamu ya 5. Nyie ni wajinga kabisa hamna hata akili kama nyie kipindi chenu mlisimama hamkukwama pamoja na kupinduliwa kwa pambio la chama. Vipi sasa mfikiri hawa wa awamu ya 5 watawaangalia tu ili muwafanye waonekane mbele ya macho ya Watanzania wameshindwa?
Mambo katika Taifa hili hayaendeshwi kwa mazoea tena, jueni hivyo na mkae mtulie. Unaweza kumuita JPM muoga, Rais aliye thubutu kuing'oa accasia london stock exchange? Licha ya vitisho mlivyokuwa mwaviendeleza kwa propoganda zenu uchwara?
Akaikoa nchi ya Tanzania kutoka kubadilishana dhahabu na misaada ya vyandarua vya mbu. Eti, eti, eti, katumwa na Bahima, huna hata aibu wala soni wewe, hujishtukii kutumika kama tambara la kufutia shombo. Umelipwa nini kinachokufanya kudhalilisha utu wako na heshima yako kiasi hiki? Mtu aliyetumwa na Bahima angezuia madini yetu yasiishie Rwanda na kwengineko? Angejenga ukuta Mererani.?Angehangaika na Bwawa lilolomshinda Nyerere ubunifu wa kulijenga na huku nchi iikiwa na raslimali tele za kuwanufaisha Amiri Jamal na wakina Sabudu? Waliomfuatia Nyerere nao wakajibaraguza kulijenga ili wachote raslimali zilizojaa selous wakishirikina na mabwana zao wazungu na waarabu, sijui wahindi wanao waamini na kuwanyenyekea kama miungu -idols.
Kaambulia matusi, nimecheka leo mpaka basi, kama atakua amesoma zile replies basi naamini leo atarudishwa gereji kwenye matengenezo
Hakujua kama Kuna Uchaguzi tena, walimdanganya kuwa anaweza kuongoza kama akina Museveni, hajui kina Museveni ni intellectuals na wamewekwa pale na CIA
Wazalendo na wapenda maendeleo ya Tanzania tutamchagua JPM kwa kishindo.
October 28 kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Acha hizo Mkuu hebu tujumuike katika kumpa kura za kishindo JPM.Nyie siyo wazalendo, ni wachumia tumbo mnaotetea maslahi yenu
MATAGA wana mawazo ya enzi ya kijimaMATAGA mkuje mtuambie tangu lini kwenye mitandao kumekuwa na wapiga kura? Kila siku mnasema JF, Tweeter, Fb hakuna wapiga kura kuna wapiga kelele!?
Ninyi watumishi! Au wewe mtumishi?Sisi watumishi tutamchagua Magufuli tena kwa kishindo.
Lissu atachaguliwa na waliofaidika na ufisadi na mnyororo wa ufisadi ambao na wale wa vya BURE SYNDROME.