Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

Amini msiamini mnaomchukia JPM kwa sasa mnajitahidi kutafuta faraja japo muuburudishe moyo wenu hata kwa sekunde kadhaa. Lakini ukweli unaufahamu fika kubwa mh.JPM anapendwa na kukubalika na watanzania kuliko mgombea urais yoyote TZ. Poleni sana JPM kawakosea nini hadi mumchukie? Au ndio zile fasheni za ki Libya. Toeni tongotongo hakuna mtu ataekuletea pesa mfukoni.




MAGUFULI4LIFE.
Wagombea wote wana kasoro zao.
Kama wewe ni mtu wa Jpm sikiliza kampeni za tl ili ugundue mapungufu yake na kama mtafanikiwa kwenye uchaguzi hayo ndiyo mambo ya kurejebisha. Halikadhalika kama wewe ni mtu wa tl.
 
[emoji1782]
45689050.jpg
 
Namuelewa Magu ila Statement ya kwamba hatapeleka maendeleo kwenye majimbo ya Upinzani, inamuondolea uzalendo ambao umeusema hapo; Sina hakika kama unamjua mtu Mzalendo vizuri.
Halafu hayo majimbo ya upinzani kwani hayana wana ccm huko?
Haoni kuwa anakuwa anawakomoa hata ccm wenzake wanaoishi kwenye majimbo hayo?
 
Haoni kuwa anakuwa anawakomoa hata ccm wenzake wanaoishi kwenye majimbo hayo?
Kabisa Mkuu; Ijapokuwa kauli zake ni za kisiasa hazina Madhara ya Moja kwa moja; Moshi na Karatu ni Sample ya Majimbo ambayo Tangu Mfumo wa vyama vingi uanze Hayajawahi kuchukuliwa na CCM;
Lakini Kongwa, Mtera, Buchosa, Kishapu ni majimbo ambayo Tangu Mfumo wa vyama vingi uanze hayajawai kwenda upinzani;

Lakini ninyi nyote ni mshahidi humu, fanya comparison ya majimbo hayo Moshi/karatu vs Kongwa, Mtera, Buchosa, Kishapu utafahamu kwamba hiyo kauli anayoisema haina Mashiko kabisa.
 
Kama utabahatika uibe kadi yangu ndio Pombe atapata kura yangu.

Mihemko ya NYAKWENYU.
Mkuu mimi najua unachangansha jukwaa tuu hapa nani asiyetaka kuona Mzalendo JPM akiongoza nchi hii ili kuchochea kasi ya MAENDELEO.

October 28th kura yako Mkuu ni MUHIMU SANA mpigie kura ya ndio JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kinachowatesa nyie ni kufikiria mambo yataendeshwa kwa mazoea tena. Inajulikana wako maadui wa ndani na nje ya Taifa la Tanzania. Maadui wa ndani wanao mamluki wao kwenye mifumo ya uendeshaji nchi bila kwenda kwa chenga za mwili huwezi fika. Vita ya ndani ndivyo inavopiganwa hivyo.

JPM aliye kwenda kumzika Mkapa wakati wa kurudi akatembea kwa Miguu kuvuka daraja la Mkapa na akapokea zawadi ya jogoo Mkiru, akatumbua wakutumbuliwa. Ndio unaleta propoganda zako za kilaghai hapa eti anaogopa.

Kwani mlipanga kufanya nini akiwa anafanya kampeni huko Kusini apaka ikuume hivi kwa yeye kutoenda mikoa ya kusini?

Wezi na Mafisadi waliozalishwa Tanzania awamu hasa za 3 na 4 mmegeuka kuwa maadui wa Taifa hili kwa kujitahidi kukwamisha serikali ya awamu ya 5. Nyie ni wajinga kabisa hamna hata akili kama nyie kipindi chenu mlisimama hamkukwama pamoja na kupinduliwa kwa pambio la chama. Vipi sasa mfikiri hawa wa awamu ya 5 watawaangalia tu ili muwafanye waonekane mbele ya macho ya Watanzania wameshindwa?

Mambo katika Taifa hili hayaendeshwi kwa mazoea tena, jueni hivyo na mkae mtulie. Unaweza kumuita JPM muoga, Rais aliye thubutu kuing'oa accasia london stock exchange? Licha ya vitisho mlivyokuwa mwaviendeleza kwa propoganda zenu uchwara?

Akaikoa nchi ya Tanzania kutoka kubadilishana dhahabu na misaada ya vyandarua vya mbu. Eti, eti, eti, katumwa na Bahima, huna hata aibu wala soni wewe, hujishtukii kutumika kama tambara la kufutia shombo. Umelipwa nini kinachokufanya kudhalilisha utu wako na heshima yako kiasi hiki? Mtu aliyetumwa na Bahima angezuia madini yetu yasiishie Rwanda na kwengineko? Angejenga ukuta Mererani.?Angehangaika na Bwawa lilolomshinda Nyerere ubunifu wa kulijenga na huku nchi iikiwa na raslimali tele za kuwanufaisha Amiri Jamal na wakina Sabudu? Waliomfuatia Nyerere nao wakajibaraguza kulijenga ili wachote raslimali zilizojaa selous wakishirikina na mabwana zao wazungu na waarabu, sijui wahindi wanao waamini na kuwanyenyekea kama miungu -idols.
Poyoyo mbona unapopoma sana? Tulia wacha kupaniki, Sasa Hutaki akaombe kura Mtwara?
 
Anastahili matusi yote ndiyo ajue jinsi Watanzania tunaojitambua tunavyomchukia kwa udikteta na maovu yake ya kutisha kwa miaka mitano sasa.
Kaambulia matusi, nimecheka leo mpaka basi, kama atakua amesoma zile replies basi naamini leo atarudishwa gereji kwenye matengenezo
 
Nyie siyo wazalendo, ni wachumia tumbo mnaotetea maslahi yenu
Acha hizo Mkuu hebu tujumuike katika kumpa kura za kishindo JPM.

October 28th wewe,yeye,yule na mimi tukampe kura za kishindo mpaka wapinzani waweweseke.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Sisi watumishi tutamchagua Magufuli tena kwa kishindo.

Lissu atachaguliwa na waliofaidika na ufisadi na mnyororo wa ufisadi ambao na wale wa vya BURE SYNDROME.
Ninyi watumishi! Au wewe mtumishi?
Utawapangiaje watu wengine maamuzi yao?
 
Back
Top Bottom