Kwan
Kwani wao hawana hadhi ya kuwa na uwanja wa ndege mkoa mzima wa geita?
Au kwenu tuuu ndo pana hadhi ya kuwa na uwanja wa ndege??
Au chato sio Tanzania??
Kwa nini chadomo mumevurugwa namna hiyooo???
Sasa kama hamna uhitaji/'need'.,ilijengwa ya nini?.Kw
Kwani viwanja vyote vinavyojengwa, mikoa yote na wilaya zake, vinamakampuni yaliyokwisha sajiriwa kwa viwanja hivyo??
Haaaaaa haaaaaa. Upinzani wa kipindi hiki umekuwa janga la taifa kwelikweliiii.
Kwani unatakwimu ya wanainchi wa chato na mkoa mzima wa geita??Suala hapa sio hadhi, bali ni hitaji la msingi la watu wa eneo husika. Ni wananchi wangapi wa Chato wanaweza kupakia ndege?
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika!5. Baada ya yeye kumaliza uraisi huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwahyo kwa akiri yako hivyo viwanja ulitaka visajiri kampuni ya ndegeee, halafu ndoo vijengwee?Sasa kama hamna uhitaji/'need'.,ilijengwa ya nini?.
NB:ni 'sajiliwa' na sio 'sajiriwa'
Jitahidi kuweka r na l mahala pake basi jmn dearKwahyo kwa akiri yako hivyo viwanja ulitaka visajiri kampuni ya ndegeee, halafu ndoo vijengwee?
Na huuu utaratibu umeuona wapiiii???
Tunahitaji sana ndege. Kabla ya huu mradi wa Magufuli, ndege zilikuwepo. Biashara ya ndege ni biashara kichaa, tata sana na inahitaji umakini. Ugomvi wetu mnaotuita wapingaji kumbe tunachofanya ni kuhoji ili pesa za walipa kodi zitumike kwa manufaa ni serikali kujiingiza katika biashara kichaa kama hii wakati wangewaachia sekta binafsi wakaendelea kutoa huduma na serikali ikafanya kazi ya kuimarisha viwanja na miundombinu nyingine na kukusanya kodi. Ikitokea hasara, inakuwa kwa hao hao mashirika binafsi na sio kwa mlipa kodi mTz. Hizo pesa alizowekeza katika atcl kama angeziwekeza katika kilimo, sasa hivi tungekuwa tunahesabu faida tuuuuu. Badala yake ni hasara 'mbere kwa mbere' (chambilecho mataga) na hakuna atakayejua ni hasara kiasi gani (kwa sababu ni mradi wa Magufuli)!!!. Magufuli anasumbuliwa sana na ushamba wa kiutawala kwa kufikiri kwa vile ni rais basi pesa yote ya serikali ni ya Magufuli na anaweza kuitumia anavyotaka alimradi anawapumbaza wananchi kuwa ni mtu wa maendeleo. Serikali kufanya biashara ya usafiri wa ndege za abiria kunaleta maendeleo gani?
Precision Air ilikatisha route yake ya Shinyanga Dar kupiga Mwanza Kwa ajili hakukuwa na wateja au wakati mwingine kufuata mteja mmoja. Hao wateja WA Chato wanatokea wapi?,issue sio dharau fanyeni tafiti Watanzania wepi watapanda hizo ndege?Kwahi
Kwahiyo wanainchi wa chato wote kwa ujumla umewadhalau hawawezi kupanda ndege wala kuuugua wakahitaji msaada wandege??
Au umeudhalau mkoa mzima wa geita wote ni masikini hawawezi kupanda ndege hata mfanya biashara mumojaaa???
Huuuu upinzani wenu ni janga la taifaa
Magufuli kama kuna watu anapaswa awafukuze kazi ni watu wanaomshauri"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? Ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11, hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau, wapiga kura hawajaridhika
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka Mwanza airport mpaka Chato?
5. Baada ya yeye kumaliza urais, huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Sio hivyo,,kipindi cha jk wapinzani walimlaumu sana kwa kufa kwa shirika la ndege,,jpm akaona hili tatizo aliondoe,ndiposa akaamua kulifufua shirika la ndege
Ukisikia JPM anasema kwani kiwanja ni Chato tu mbona hamuongelei vingine; ujue chumvi iliyosuguliwa kwenye kidonda inauma!"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? Ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11, hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau, wapiga kura hawajaridhika
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka Mwanza airport mpaka Chato?
5. Baada ya yeye kumaliza urais, huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Jamaa anatimiza ndoto zake utotoniJamaa anapenda ndege! Hebu afanye utafiti ni watanzania wangapi Wana uwezo wa kupanda ndege ,anakera.
Endeleeni kuwadanganya watanzania wasiojua. Sina haha ya kuelezea Sana humu maana hata wewe unajua unachokiandika hapa. Mfano Marais wote wa Nchi hii waliopita wanajulikana walizaliwa wapi. Unaweza kuniambia jiwe alizaliwa wapi?Picha ya kaburi? Yapo
mengi tu na la bibi yake kizaa baba lipo
Wewe tuhabarishe unaemjua zaidi
Corona ipi , wakati corona imeshaisha. Au ili ATCL ipate faida ni lazima ndege zao ziende nje ya nchi ?Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
MkuuUnazungumzia ndege gani ya Chato? Tuwe makini makamanda.
Labda enzi za ujana wake alikuwa mwimbaji wa taarabu...huyu mzee aache MIPASHO.
..hiyo ni mipasho, siyo kupangua hoja.
Siyo upinzani, ni facts. Kiwanja hakijengwi kwa kazi hiyo, anyway. Ingekuwa ni private air strip, Sawa. Toka umekamilika ni almost 2 years, mbona hizo ndege haziendi huko. Au zitaanza safari za Chato lini!?Kwahi
Kwahiyo wanainchi wa chato wote kwa ujumla umewadhalau hawawezi kupanda ndege wala kuuugua wakahitaji msaada wandege??
Au umeudhalau mkoa mzima wa geita wote ni masikini hawawezi kupanda ndege hata mfanya biashara mumojaaa???
Huuuu upinzani wenu ni janga la taifaa
KWANI MWL NYERER ALIANZISHA SHIRIKA LA NDEGE NA KUNUNUA NDEGE WATANZANIA WOTE WALIPANDA HIZO NDEGEE??Precision Air ilikatisha route yake ya Shinyanga Dar kupiga Mwanza Kwa ajili hakukuwa na wateja au wakati mwingine kufuata mteja mmoja. Hao wateja WA Chato wanatokea wapi?,issue sio dharau fanyeni tafiti Watanzania wepi watapanda hizo ndege?