Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 998
hivi mwalimu nyerere alinunua ndege, na kujenga miundo mbinu akitaka faida ya hapohapo??Siyo upinzani, ni facts. Kiwanja hakijengwi kwa kazi hiyo, anyway. Ingekuwa ni private air strip, Sawa. Toka umekamilika ni almost 2 years, mbona hizo ndege haziendi huko. Au zitaanza safari za Chato lini!?
Ukisikia JPM anasema kwani kiwanja ni Chato tu mbona hamuongelei vingine; ujue chumvi iliyosuguliwa kwenye kidonda inauma!ATCL ina madeni mengi sana. Kama ndege zingeinyizwa huko lazima zingechukuliwa na wadai. Airline nyingi zina hasara. Ina maana sababu ya hasara ndio hatuhitaji ndege?
Ukisikia JPM anasema kwani kiwanja ni Chato tu mbona hamuongelei vingine; ujue chumvi iliyosuguliwa kwenye kidonda inauma!Kumbe sindano za Lissu huwa zinamuingia huyu mzee.
Nadhani kila mvuta kamba huivutia kwake, hivyo ubinafsi ni silka ya wanadamu wote.
faida ya kununua ndege itachukua muda mrefu kupata faida, tena na hii corona ndo kabisaa hasara inaongezeka
Jibu jepesi kwa maswali magumu!!!!!Hata Mobutu Seseko alijenga ndani ya nchi yake,hakujenga nchi nyingine!Lakini unaelewa kwanini alivuma na ameandikwa kwenye historia!Chato ni sehemu ya Uganda au ni Burundi?.
Lisu akienda Chato akawaulize Kama tangu wamejengewa uwanja na je biashara zao zimeimarika kwa kuzipeleka ulaya kuuza nk?Hajajibu hoja yoyote!
Ameweka siasa tu
Kwani kabla ya yeye kununua hii midege isiyotoa faida hakukuwepo na ndege za mashirika mengine?
Huko muendako wapi? Jibu hoja hapo juu maana unaleta blaa blaa,nyie maccm mipango yenu inamnufaisha nani? Utasikia nchi,nchi ni nini bila watu? Acheni kuchezea kodi zetu kwa mipambo na matumizi ya kipuuzi.Hoja zile zile za kukaririshana. Anunue ndege kwa mkopo halafu tulipe pesa nyingi kwenye riba.
Baada ya yeye kumaliza urais uwanja unatumiwa na watu wa Geita. Uwanja wa KIA upo Hai kwa Mbowe na hakuna anayeuhusisha na siasa za vyama kwani upo ulikuwepo na utakuwepo.
Tukumbuke kuwa uwanja wa Mwanza umepanuliwa na unakuwa ni hub ya Tanzania na unapokuwa na hub ni lazima uwe na strategic aerodrome yaani uwanja wa akiba ambao haupo mbali nao. Mfano uwanja wa Dar unayo akiba ya Zanzibar uwanja wa KIA unayo akiba ya uwanja wa Arusha.
Sekta ya anga inatazamwa kisiasa badala ya kuangaliwa kama ni fursa kubwa huko tuendako.
Hoja nyingi ni za kisiasa zisizo na maono ya mbali.
Ndio maana maccm hamna akili,hamjui mfanye kipi wakati gani,kwamba ilikuwa lazima kujenga huo uwanja sasa ili uwafae watu baada ya miaka 50? Mbona reli za mzungu zilizojengwa miaka Mia iliyopita hazitufai sisi wa kizazi Cha saizi? Thinking ya maccm ni zero kabisa.Kujenga kiwanja sio upotevu wa mapato,ni investment...miaka 50 toka sasa huo uwanja utawafaa vizazi vijavyo
ATCL inakaguliwa na CAG?Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
Watu wanahisi Tundu Lissu akienda Chato atakosa cha kuongeaLisu akienda Chato akawaulize Kama tangu wamejengewa uwanja na je biashara zao zimeimarika kwa kuzipeleka ulaya kuuza nk?
Na ameshafeli.Amesha panic
Hilo ni shirika binafsi mkuu.Madini nayo ni mali ya mtu binafsi.huko siieijiiATCL inakaguliwa na CAG?
Hilo ni shirika binafsi mkuu.Madini nayo ni mali ya mtu binafsi.huko siieijii hatakiwa hata kunusaATCL inakaguliwa na CAG?
Uwanja wa Bukoba upo kama akiba ya Mwanza.Hoja zile zile za kukaririshana. Anunue ndege kwa mkopo halafu tulipe pesa nyingi kwenye riba.
Baada ya yeye kumaliza urais uwanja unatumiwa na watu wa Geita. Uwanja wa KIA upo Hai kwa Mbowe na hakuna anayeuhusisha na siasa za vyama kwani upo ulikuwepo na utakuwepo.
Tukumbuke kuwa uwanja wa Mwanza umepanuliwa na unakuwa ni hub ya Tanzania na unapokuwa na hub ni lazima uwe na strategic aerodrome yaani uwanja wa akiba ambao haupo mbali nao. Mfano uwanja wa Dar unayo akiba ya Zanzibar uwanja wa KIA unayo akiba ya uwanja wa Arusha.
Sekta ya anga inatazamwa kisiasa badala ya kuangaliwa kama ni fursa kubwa huko tuendako.
Hoja nyingi ni za kisiasa zisizo na maono ya mbali.
"Mtu anazungumza eti nimejenga uwanja nyumbani, nikifa nitaenda nalo hilo liuwanja kaburini? Ni lazima upange mipango mipana, tumejenga na tunajenga viwanja vingi zaidi ya 11, hivyo viwanja vyote watu hawavioni wanakiona cha Chato tu, ashindwe akalegee kweli kweli". Rais Magufuli
Hoja za Wadau, wapiga kura hawajaridhika
1. Ni faida kiasi gani ndege hizo zinaleta kwa taifa?
2. Kwanini amehamishia ndege kwenye kasma namba 20 ambayo haikaguliwi na CAG kama ambayo mashirika mengine ya umma yanakaguliwa?
3. Kwanini hataki kuweka wazi mikataba ya manunuzi ya ndege?
4. Kama anaweza kusafiri na gari nchi nzima wakati wa kampeni anashindwaje kusafiri kutoka Mwanza airport mpaka Chato?
5. Baada ya yeye kumaliza urais, huo uwanja utatumika kwa kazi gani?
Kwa kuwa makampuni yote duniani hayanunui ndege za abiria kwa hela taslimu ( commercial aircraft leasing agreement ) ili kuweza kumudu mtaji na gharama za uendeshaji. Je biashara hii inaweza kuhimili ushindani sokoni?
Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja
hHuyu jamaa ana hasira sana, sipati picha alivyokuwa mwalimu, wanafunzi walipata shida sana.
Usijaribu uwe umejua unachopasa kukijibu, hiyo sheria iliyotajwa kasma no 20 umeielewa?Hoja kama hizi zinawaondolea heshima makamanda wenzangu. Kipindi hiki cha Corona unategemea Atcl wapate faida?
Atcl kwa nini isikaguliwe na CAG wakati ni shirika la umma? Tunajiabisha tuwe makini kujibu hoja