Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli apangua hoja ya kujenga Uwanja wa Ndege wa Chato kwa ustadi mkubwa

waliompa nchi jiwe sijui walifikiria nini nahisi waliichoka tz,serikali yake yote kaipigisha magoti ,anafanya anachotaka anachofikiria kiwe na madhara hakina madhara kwake twende tu
 
Nadhani kila mvuta kamba huivutia kwake, hivyo ubinafsi ni silka ya wanadamu wote.
faida ya kununua ndege itachukua muda mrefu kupata faida, tena na hii corona ndo kabisaa hasara inaongezeka
KIONGOZI AKIWA MBINAFSI HAFAI.... don't give us some excuses mzee....
Nyerere was a good leader and he wasn't self_centered..
 
KWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Creation of "white elephants" using tax payers has been a trend with irresponsible African leaders before him.
 
Jamaa anapenda ndege! Hebu afanye utafiti ni watanzania wangapi Wana uwezo wa kupanda ndege ,anakera.
Isitoshe, walifanya utafiti wakutosha wakijua kwamba kwenye karne hii ushindani wa soko la anga sio wa kitoto kihivyo? Au walitaka kuwafungia kina Emirates na wenzao pia? Kama fastjet walivyo fanyiwa... pia walitaka tujitenge kianga pia? Je, kwa kufanya hivyo na sisi tusingetengwa kwa kutopata ruhusa ya kushusha ATCL yetu kwenye viwanja vya ndege za kwao? Au tungeambiwa safari za ndani tu inatutosha?

Ukiacha hayo yote, ukigoogle tu, nina amini pasipo na shaka kwamba, ni mashirika ya ndege vichache sana duniani kote, ambazo zinapata faida...
 
Uwanja wa chato Airport hauna faida wala tija kwa Taifa ni kama ule uwanja wa marehemu Mabutu seseco aliojenga porini baada ya kufarika ukageuka kuwa magofu mazalia ya popo, chato Airport imejengwa kienyeji pasipo idhini ya bunge kuna ufisadi wa kutisha sana, kuanzia ununuzi Ndege, flyover, ujenzi wa reli, bwawa la umeme na miradi yote mikubwa
 
Kumbe sindano za Lissu huwa zinamuingia huyu mzee.
Hapati usingizi mpaka kutengeneza ushetani wa kupita bila kupingwa ili aweze kupata wabunge wagonga meza Bungeni wabadili katiba awe Rais wa milele kama china
 
Kufufua hakukosea,kinachozungumziwa ni jinsi gani ununuzi wa ndege ulivyofanyika,taratibu zinasemaje,zilifuatwa?
 

Ukijibiwa usisahau kunitag
 

Longo longo kibao.Ujenzi wa uwanja wa Chato ni matumizi mabaya ya madaraka ambayo utayakuta Afrika pekee yake.Mabara mengine huu upuuzi walishasahau tangu karne ya 20.
 
Creation of "white elephants" using tax payers has been a trend with irresponsible African leaders before him.
Kwani hizo hela zimetumika kujenga uwanja ambao ni mali yake?
Kwani chato hapafai kujenga uwanja??

Kwa nini huuu uwanja umewauma??
Shida iko wapiiii??
 
Mwenye macho haambiwi ona. Mambo mengine sio yakubishana
Muda utaongea, loud and clear

Serekali siku zote ikijiingiza katika biashara tegemea majanga makubwa.Binafsi ningependa ATCL ishirikiane na sekta binafsi katika uendeshaji wake na hasa bodi wawepo watu binafsi.
 
Je huo uwanja ulipangiwa bajeti bungeni? Kwa nn asingejenga geita? In short ni ufisadi na upendeleo
 
Majibu rahisi kwa maswali magumu. Anyway he tried.
Kuna masomo yanaitwa Static na Dynamics. Ukipewa swali la haya masomo uka'solve' zaidi ya ukurasa mmoja wa A4 ujue umeishafeli swali hilo. Maswali yenyewe utata kipindi hicho. Sasa Mgombea urais, Dr. Magufuli anasolve hayo maswali kwa kutumia nusu ukrasa wa A4!
 
Kwani
Kwani wanaoishi chato hawana haki yakuwekewaa taaa barabaranii???

Au wewe umezuiliwa kupeleka gari kwenye hizoo taaa za chato??

Mbona mnabwabwaja tuuuu??
Duh....!
Yssni nitoke Dar nipeleke gari Chato kwa sababu ya taa? Sijui hata umewaza nini kuandika huu upupu!!
 
Duh....!
Yssni nitoke Dar nipeleke gari Chato kwa sababu ya taa? Sijui hata umewaza nini kuandika huu upupu!!
Sasa kama umeona chato kuna taa nzuri hadi zimekunyima usingizi, Si bora na we we upereke gari lako huko ili ufaidi. Maana umeona watu wa chato wanafaidi kukuzidi we we wa dar.
 
Jibu jepesi kwa maswali magumu!!!!!Hata Mobutu Seseko alijenga ndani ya nchi yake,hakujenga nchi nyingine!Lakini unaelewa kwanini alivuma na ameandikwa kwenye historia!
Ukiacha mihemko,ndani ya nafsi yako mwenyewe unajua si sawa!
Acha nongwa za kibaguzi mkuu. Viwanja 11 vya ndege vinajenga, vinakarabatiwa na kupanuliwa nchi nzima Ndio maana nimekwambia Chato sio Burundi.

KIA upo uwanja na Arusha upo ina maana viwanja vile kuwepo ni sawa lakini uwanja wa Chato kuwepo sio sawa!!.

Acheni akili za kibaguzi, acheni dharau za kipuuzi. Ina maana watakaokuja kuzaliwa Chato miaka ijayo watakuwa hawana hadhi ya kupanda ndege.
 
KWAHYO HUO UWANJA HAKUNA MTANZANIA WALA NDEGE YOYOTE ITAKAYO RUKA HAPO?
INAMAANA HAKUNA WAFANYABIASHARA WENYE UWEZO AU WAGONJWA WENYE UHITAJI WA HARAKA KWA KUTUMIA UWANJA HUO??

SHIIIDA KWELI KWELIII.
Huo uwanja umeshakamilika muda mrefu na tokea ukamilike ni ndege za magufuli akiwa anaenda kupumzika,ndege ya Uhuru kenyata na mseveni tu ndio zimetua hapo kuja kumsalimia dictator au kulazimisha kufanyia mambo ya kiserikali
Chato hakuna hakuna mzunguko wa fedha wa kuhitaji usafiri wa ndege
Uwanja huu Ni kama ule wa dictator Mobutu aliojenga kijijini kwake
 
Lissu titamrudisha kwa Amsterdam ikifika oktoba
Jibu hoja kwanini uwanja ulio harimu ma bilioni ya pesa za walipa kodi wakiwemo mama ntilie wamachinga na wengine unatua ndege moja tu tena kwa crismas na pasake kule kijijini chato jee akiondoka madarakani hule uwanja ninavojua mm patajengwa banda la kufugia punda

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…