Ebu watajie hao CCM shirika la ndege linalofanya safari za Chato.KWAHYO HUO UWANJA HAKUNA MTANZANIA WALA NDEGE YOYOTE ITAKAYO RUKA HAPO?
INAMAANA HAKUNA WAFANYABIASHARA WENYE UWEZO AU WAGONJWA WENYE UHITAJI WA HARAKA KWA KUTUMIA UWANJA HUO??
SHIIIDA KWELI KWELIII.
Huna loloteEbu watajie hao CCM shirika la ndege linaro fanya safari za Chato
Ndiyo kampuni gani hii?Huna lo
Huna lolote
NI KAMPUNI YA YULE MZEE WA MIELEKA MAJUKWAANII. HUKU AKITULAZIMISHA TUMPE URAISI KAMA KIFUTA MACHOZINdiyo kampuni gani hii?
Another old slutNI KAMPUNI YA YULE MZEE WA MIELEKA MAJUKWAANII. HUKU AKITULAZIMISHA TUMPE URAISI KAMA KIFUTA MACHOZI
Upumbavu huujui vinginevyo usingethubutu kuandika ulichoandika.Wewe unayetetea upumbavu kwa taarifa yako unajishushia thamani kwa wanaokusoma kulipo mimi
Msuya alitumia nafasi yake kupeleka umeme Mwanga miaka ile enzi za Nyerere na hakuna aliyelalamika.Unatetea ujinga!Kwahiyo kwasasa uwanja unatumiwa na JPM na marafiki zake!Mnachoshindwa kusema kwa uwazi ni kuwa JPM katumia nafasi yake kama Rais kulazimisha kujenga uwanja Chato ambapo sio mahitaji ya nchi kwa sasa!Wilayani kote,kumeachwa maeneo ya wazi kwa ajili ya viwanja vya ndege,hii inamaana mpaka pale kutakapokuwa na uhitaji ndio viwanja vitajengwa!
Msiwe mapopoma,sio kila jambo ni kuunga mkono tu hata kama halina manufaa zaidi ya kuiingiza serikali hasara!Ni aibu kwa mtu anayejitambua kutokuona uwanja huu ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi,nchi inachangamoto nyingi lakini unaenda kutumia pesa hovyo kujenga nyumbani kwenu kwasababu wewe ni Rais!Si sawa,Lissu endelea kuwaelimisha wananchi juu ya huu umobutu Seseko!
Tatizo unapofushwa macho ya ndani ya nafsi yako ukiongozwa na akili za kisiasa kule kutazama muelekeo wa maisha halisi miaka mingi ijayo.Acha kufikiri kwa kutumia tumbo,seka maslahi yako pembeni na kuwa neutral utaelewa mantiki!
Hujajibu swali,JPM angekuwa si mzawa wa Chato,uwanja huo ungejengwa Chato wakati kama huu? Akitokea Rais kutoka Sumbawanga huko vijijini,naye ajenge kiwanja huko na aseme anaangalia fursa miaka 20 ijayo?
Lissu akiwa Rais naye ajenge uwanja huko singida kijijini kwao aseme anaangalia fursa miaka 20 ijayo?Rungwe naye hivyo hivyo,Lipumba naye hivyo hivyo!Tutakuwa taifa la namna gani?
Wazungu wangekuwa na mawazo kama yako ule Mnara wa New York na ule wa Paris usingejengwa kwani wakati ule ilionekana kama ni upotezaji wa pesa na muda.Hoja zako si kweli kabisa na hazina mashiko. Eti economic benefits hazionekani ndani ya mwaka au miaka miwili? Na unafurahi kutumbukiza hela zako kwenye mradi wa namna hii ukitegemea uanze kuona economic benefits baada ya miaka 4 hivi?
Kama ni hela yako ya mfukoni waweza kufanya hivyo? Mradi wowote lazima economic benefits zianze kuonekana mara baada ya kumalizika labda useme return on investment yaweza kuchukua miaka mingi au hata miongo..
Wewe kichwa panzi, hujui kwanini maeneo ya viwanja vya ndege huwa yanatengwa kwenye mipango miji? Hii ni kwasababu kama itatokea kuna uhitaji wa uwanja wa uwanja wa ndege basi ujengwe wakati huo! Mfano kila wilaya zina maeneo kwaajili hiyo ila siyo kwamba wanajenga tu kwa ajili ya matumizi ya miaka 20 ijayo, haiko hivyo!Msuya alitumia nafasi yake kupeleka umeme Mwanga miaka ile enzi za Nyerere na hakuna aliyelalamika.
Umeme ule unatumika mpaka kesho.
Magufuli kujenga uwanja utakaokuja kutumiwa na watu wa vizazi vijavyo imekuwa nongwa!!.
Kuna watakaotumia uwanja huo vizazi vingi vijavyo sijui kama kwa kuhoji ujenzi wa uwanja tunakuwa tumewafikiria au ubinafsi wetu ndio unaotunyima uwezo wa kutazama mbeleni.
Ebu onyesha wapi wakati ule ilionekana kama ni upotezaji wa pesa. Maadamu umeweza kujisajili JF na ku post, inatakiwa uweze kujua kutumia google kutafuta ukweli.Wazungu wangekuwa na mawazo kama yako ule Mnara wa New York na ule wa Paris usingejengwa kwani wakati ule ilionekana kama ni upotezaji wa pesa na muda.
Kitakachofuata chini ya Phillipo Bukililo, watajenga hoteli ya nyota tano hapo kwa ajili ya kupokea wageni miaka ijayo 🙂Wewe kichwa panzi,hujui kwanini maeneo ya viwanja vya ndege huwa yanatengwa kwenye mipango miji?Hii ni kwasababu kama itatokea kuna uhitaji wa uwanja wa uwanja wa ndege basi ujengwe wakati huo!Mfano kila wilaya zina maeneo kwaajili hiyo ila siyo kwamba wanajenga tu kwa ajili ya matumizi ya miaka 20 ijayo,haiko hivyo!Vinatengwa na miji ikikua na tathimini ikaonesha sasa wanahitaji kiwanja,ndioo hujengwa!
Huko chato palitakiwa pawe pametengwa tu eneo,na baada ya hiyo miaka 20 mnayosema kama kutakuwa na uhitaji basi kiwanja kikajengwa!
Na uhaba huu wa pesa,bado tunaenda kuzika fedha sehemu ambazo hazina tija kwa sasa au miaka ya karibuni?Hii ni akili au matope???
Wewe ndio kichwa panzi unayeandika usichokijua kuhusu Chato.Wewe kichwa panzi, hujui kwanini maeneo ya viwanja vya ndege huwa yanatengwa kwenye mipango miji? Hii ni kwasababu kama itatokea kuna uhitaji wa uwanja wa uwanja wa ndege basi ujengwe wakati huo! Mfano kila wilaya zina maeneo kwaajili hiyo ila siyo kwamba wanajenga tu kwa ajili ya matumizi ya miaka 20 ijayo, haiko hivyo!
Vinatengwa na miji ikikua na tathimini ikaonesha sasa wanahitaji kiwanja, ndioo hujengwa! Huko Chato palitakiwa pawe pametengwa tu eneo na baada ya hiyo miaka 20 mnayosema kama kutakuwa na uhitaji basi kiwanja kikajengwa!
Na uhaba huu wa pesa, bado tunaenda kuzika fedha sehemu ambazo hazina tija kwa sasa au miaka ya karibuni? Hii ni akili au matope??
Ujumbe wangu umeeleweka. Sio kila mradi una lengo la kuleta faida za kuonekana leo wala kesho wakati mwingine wafaidikaji wa kinachofanyika leo bado hawajazaliwa.Ebu onyesha wapi wakati ule ilionekana kama ni upotezaji wa pesa. Maadamu umeweza kujisajili JF na ku post, inatakiwa uweze kujua kutumia google kutafuta ukweli.
Unapoweka vielelezo ku support hoja zako, hakikisha vielelezo hivyo havipingi hoja zako.Ujumbe wangu umeeleweka. Sio kila mradi una lengo la kuleta faida za kuonekana leo wala kesho wakati mwingine wafaidikaji wa kinachofanyika leo bado hawajazaliwa.
Sio kila mradi faida zake zinaonekana kesho yake.Unapoweka vielelezo ku support hoja zako, hakikisha vielelezo hivyo havipingi hoja zako.
Mradi wowote unapoanzishwa, una lengo la kuleta faida mara tu umalizikapo. Kinyume na hapo, ni upotezaji wa fedha na utakufa au huduma kwa jamii ambayo lazima ifadhiliwe.
Toa mfano na sio sweeping statement.Sio kila mradi faida zake zinaonekana kesho yake.
Na mitizamo kama ya kwako ndio chanzo cha tija kutoonekana katika miradi mingi mikubwa haswa Afrika.
Hizo ndege ni mfano tosha kabisa.Toa mfano na sio sweeping statement.
Lete faida ya airport chatoKWANI KUNASHIDA GANI KUJENGA UWANJA CHATO?
KWANI CHATO SIO TANZANIA?
KWANI UWANJA WA NDEGE CHATO SI UWANJA WAWATANZANIA WOTE?
KWANI UWANJA WA CHATO NI MALI YA MAGUFULU NA FAMILIA YAKEEE??
Kwahiyo CCM mnajua mna tatizo la upendeleo kwa viongozi wenu??Mbona Nyerere hakuwa hivyo?Hivi kungekuwa na kiwanja msoga au Butiama,halafu ingekuwaje?Usiwe mjinga!Wewe ndio kichwa panzi unayeandika usichokijua kuhusu Chato.
Yaani wewe unajua kuliko wenye mji wenyewe!!.
Haya ni matatizo yetu watanzania, kujua kila kitu kuliko hata wenye mamlaka wenyewe.
Umeongelea kujipendelea kwa rais na mimi nimekupa mfano halisi wa Mzee Msuya aliyejiwekea umeme jimboni kwake Mwanga miaka ile ya 1980 mwanzoni na hakuna mtu aliyelalamika.
Kujipendelea kwingine ni pale TRA ilipokuwa na wakurugenzi nane wote kabila moja tena wakimuita RIP Mkapa shemeji.
Nchi ni yetu sote na kila eneo linapaswa kujengewa miundo mbinu itakayochagiza maendeleo ya kesho na kesho kutwa.
Lissu akija kuwa rais halafu akajenga miundo mbinu pale Singida provided itakuwa ina lengo la kubadilisha maisha ya watu wa vizazi vijavyo mimi nitakuwa wa kwanza kuunga mkono ujenzi wa hiyo miundo mbinu.