Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli hajawahi kushindwa, hatashindwa

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli hajawahi kushindwa, hatashindwa

Wakuu, salaam!

Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.

Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-

(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-

Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);

(ii). Ziara za ndani:-

Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;

(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-

Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;

(iv). Ajali za barabani
- zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;

Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.

Rai yangu:-

Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.

Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10
Saa Mbovu.
 
Umesema kwamba hajawahi kushindwa na hatashindwa halafu unatoa rai kwa kutuomba sisi tumchague! thats ironic!

Nilifikiri ungesema tumchague au tusimchague atashinda tu maana sifa ulizompa mpa hapo kwenye title ni sifa za Mungu!
 
Wakuu, salaam!

Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.

Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-

(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-
Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);

(ii). Ziara za ndani:-
Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;

(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-
Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;

(iv). Ajali za barabani - zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;

Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.

Rai yangu:-
Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.

Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10
Hebu peleka ujinga kule. Mtu anayeshindwa kuongea Kiingereza ambacho amejifundishia "PhD" utasemaje hajawahi kushindwa 🤣
 
Wakuu, haijalishi nawakera kiasi gani lkn kuna kiongozi mmoja aliwahi kusema kwamba - "ukiwa kiongozi una vyombo vya ulinzi, una dola, na viongozi wa chama makini kushindwa ni aibu".

Nami kwa muktadha huo nasema siwezi kuwa Rais ninayetetea nafasi yangu halafu ukanishinda kiurahisi - tusubiri siti za mbele kufikia tarehe 30 Oktoba 2020
 
Mtaje huyo Kiongozi mmoja mpuuzi aliyesema hayo maneno
Wakuu, haijalishi nawakera kiasi gani lkn kuna kiongozi mmoja aliwahi kusema kwamba - "ukiwa kiongozi una vyombo vya ulinzi, una dola, na viongozi wa chama makini kushindwa ni aibu".

Nami kwa muktadha huo nasema siwezi kuwa Rais ninayetetea nafasi yangu halafu ukanishinda kiurahisi - tusubiri siti za mbele kufikia tarehe 30 Oktoba 2020
 
Wakuu, salaam!

Nawakumbusha tu kwamba John Pombe Magufuli hajawahi kushindwa na haitatokea ashindwe - mara zote akiwa mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki na baadae Chato iwe ndani ya CCM au uchaguzi mkuu hakuwahi kushindwa na haitatokea ashindwe.

Katika uchaguzi tunaoenda kuufanya tarehe 28 Oktoba, 2020 bado anapambana lkn usitegemee atashindwa - sababu za kutoshindwa ziko nyingi:-

(i). Uwezo binafsi na Ubunifu:-

Haikuwa kazi nyepesi kusimamia ongezeko la mapato ya Serikali kutoka takriban 800B - 1.3T kwa mwezi (ni fedha hizi zimewezesha utekelezaji wa miradi mikubwa kwa midogo i.e viwanja vya ndege, ndege, meli, vivuko, maji, hospital na vituo vya afya, elimu bure nk nk);

(ii). Ziara za ndani:-

Wakati wote ametumia muda mwingi kufanya ziara za kikazi ndani ya mikoa tofauti na utamaduni wa viongozi wengi ambao leo wakinywa chai Ufaransa mchana hula UK - hii imemjengea sifa kubwa kwa wananchi na kuwa ktk orodha wa viongozi wanaoaminiwa;

(iii). Usimamizi wa matumizi ya fedha za umma:-

Hapa kila mmoja ni shahidi kwamba hata zile kelele za ufisadi zilizokuwa zinapigwa zimepungua sana - ingawa anapaswa kuendelea kumulika zaidi kwa watendaji wake ili wasiingize masuala binafsi kwenye utendaji wa kila siku;

(iv). Ajali za barabani
- zimepungua sana tofauti na miaka kadhaa ya nyuma;

Kwa ujumla sifa za kiungozi anazo nyingi, kama kuna kasoro sehemu basi ni zile za kibinadamu ambazo kila mmoja anazo.

Rai yangu:-

Kwa kuwa amehiari kutuongoza kwa miaka mingine mitano (2020/2021 - 2024/2025) basi tukubali kwa wingi wetu kumchagua na kulinda kura zake ili zisihujumiwe na mahasimu wake wa kisiasa.

Nawasilisha kwa hatua zenu hapo 28/10

Kipi amewahi shinda maishani, ubunge alijipitisha bila kupingwa,uraisi alibebwa na Ben, academic alibebwa thus yule akapotea.Tupe mfano kipi?
 
Yeye ni nani asishindwe na umesema hatowahi kushindwa! Ana maagano na Mtukufu Mwenyezi Mungu? Au unafikiri kwa vile anapora mali za wanachi na anapofadhili mambo ya ajabu watendewe watu wengine ni jambo ambalo Mungu analikubari?
madai yake akienda mbinguni atapewa kitengo .....mika mitano tumeona ukichaa wa hali ya juu
 
Sifa zingine zinatolewa na wasiojua kufikiri. Hebu fikiri... kuanzia aanze shule ufaulu wake ulikuwaje? Hajawahi kushindwa? Mialiko yote hajawahi kushindwa kufika? Matatizo yote anayoletewa kutatua, je hajawahi kushindwa? Hata kutongoza, hajawahi kataliwa na na mwanamke? Sio kushindwa? Hata alipoanza kugombea ubunge, alishindwa mara ngapi?

ACHA KUMKUFURU MUNGU....
Jukwaa la siasa mkuu, huko kwenye kutongoza, shule sijafika - ukiwa na kipande cha nyota yake lzm ufike mbali.

Nilichosema kabla ya uchaguzi ndiyo majibu leo
 
Naomba nikwambie kuwa magufuli hakuwahi kushinda wala kushindwa kwa kuwa ni muoga kuingia kwenye ushindani ,nasi watanzania tutamwadhibu kwa makosa yafuatayo

1. Kuiba na kula rambirambi
2. Wizi wa 1.5 trillion
3. Ukandamizaji wa haki za binadamu
4. Ubaguzi
5. Uongo na ahadi zisizotekelezeka mfano Noah kwa kila mtanzania na zile 50 mln kwa kila kijiji
6. Utekaji na mauaji
7. Kujificha wakati wa majanga mfano covid19 na Ajali ya MV nyerere
8. Udhalilishaji wa wanawake majukwaani
9. Hajatimiza moja ya masharti ya kugombea urais yanayosema kuwa lazima mgombea ajue "kuongea na kuandika kiswahili na kingereza kwa ufasaha"
10. Ameiba aridh huko karagwe 25000 hekari
Mkuu ona ulivyo aibika maskini. Unaishi bila ya amani ndani ya nchi yako lakini unaishi tu polee sanaaa.
 
Taifa limeandika tena histotia, kwamba nguli asiyeshindwa jambo Dkt Magufuli leo:-
= Kaifanya Zanzibar kuwa kitu kimoja kwa kuwezesha Serikali ya Muungano,
= Kaifanya Tanzania kuwa kitu kimoja
= Heko Dkt Magufuli, Heko Dkt Mwingi, Heko Seif
 
Back
Top Bottom