Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wazazi wetu walifunga mkanda kiukweli ukweli na tulishuhudia wenyewe wakiishi maisha hayo.
Sasa leo mtu anayekwambia funga mkanda yeye yuko zake anazunguka na ma V8 kwa mamia na helicopter juu,ana mshahara wa mamilioni,bima za afya uhakika kwake na kwa familia yake tena watoto wake na ndg zake wakipata kazi kwny mashirika ya umma manono, ila watoto wa maskini ndio wanaambiwa wakachukue vitambulisho vya wamachinga.
Huo Mkanda yeye anaufungia wapi?
Ata apae kama malaika
Ukipewa uchague kati ya kujenga miundombinu na kuongeza mishahara utachagua nini, ukizingatia una hella ya kufanya jambo moja, kingine ni kuwa vitu havijapanda bei kihivyo na dolla iko palepale
“Mtu anakuja anasema mbona hamjapandisha mishahara?, ukishampandisha Mtu daraja mshahara wake haubadiliki?, tumerekebisha PAE kutoka 11% hadi 9%, tumelipa malimbikizo ya Wafanyakazi zaidi ya Bil 500 hiyo sio fedha!?”- JPM akiwa Mara
#MillardAyoUPDATES
Wafanyakazi wapo laki tano na nusu wakati jumla ya watanzania ni milioni 59.7.
Tuondokane na akili za kibinafsi, kuna mahitaji mengi sana ya watanzania wa mikoani na yana thamani kubwa na ya kudumu kulinganisha na hao waajiriwa laki tano.
Mishahara inapanda kwa mujibu wa sheria, mimi nafikiri hoja yako ingekuwa na mashiko kama wangefuta kwanza hizo kanuni na sheria za kupandisha wafanyakazi mishaharaHaki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huwez kuelewa ila ndo kweli
Kama baba wa familia siwezi nikaacha kufanyia biashara hella nilonayo nikaenda kuwanunulia familia yng wale kuku kila siku wale, lazima uandae ubaadae wako ata kama ni kunywa uji kila siku, enzi zile nyumban miaka ya late 90's nyumban tulikuwa tunakula mlo moja kwa siku,
Tuliishi vibaya ila ni kwakuwa wazazi walikuwa wanatafta na wakazipata, lazima uelewe unaenda wapi na msimamo wako
Kuna mschana nilikuwa nae nikamuacha bila sababu, sijui ka alikuwa ananidanganya ama ni kweli, yeye kwao kila siku ni pilau, kuku, nyama, mbuzii, birthday noma, japo alikuwa ana bonge la tako na kashiba ila familia yao ilikuwa ni kama kichu cha muhim kwao ni kula tu na hamna maendeleo
Nikamuacha maana niliona hawana akili
Unamaanisha kuwa ukiishiwa ugali nyumbani unaenda kwa mwalimu au daktari akusaidie unga?? Niweke sawa yawezekana sijakuelewa vizuri, Suala la haki yako kisheria silipingi mkuu, Lakini sina imani kama utafurahi kuona asiye na kitu anazidi kunyimwa ili wewe uliye na kidogo uongezewe kwa kile unachokiita kuwa ni sheria, Siwezi kukuingilia kwenye maamuzi yako, lakini Kama wewe ni msomi tayari wewe ni kioo Cha jamii. Ni vizuri kufikiri sana katika kila maamuzi utakayotaka kuyachukua.
Kama hujui, wafanyakazi ndiyo wanajenga nchi...Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
That’s a fact kutoka kwa mwanaume! Mawazo ya maendeleo. Reli ndiyo itazalisha ili kizazi cha baadaye kinufaike. Hata ulaya walifunga mikanda na leo hii wajukuu wanafaidi.
Ni maamuzi yao kuchagua furaha au karahawabongo siwaelewi
..thread wengi wanalalamika na ungedhani watampiga chini...lakini wakishapewa kofia na t-shirts wanasahau shida zao