Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ukiweka hapa video inayomuonyesha Lissu akisema watumishi ni takataka nitakuzawadia kanga za chama doti nne š¤£Twende nae wapi wakati amewaita takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiweka hapa video inayomuonyesha Lissu akisema watumishi ni takataka nitakuzawadia kanga za chama doti nne š¤£Twende nae wapi wakati amewaita takataka
Hivyo hivyo vitu mnavyopinga ndio ndio hivyo hivyo mnavifurahia kuvitumia, na mnajua ndio vitakavyo support mnavyotaka kufanya sasa , bali mnavitumia kisiasa ili mpate uongozi.Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Anawaonea washika chaki mbona washika smg kawaongeza mshahara.Na ndiyo maana hayupo mfanyakazi wa nchi hii mwenye akili zake timamu kichwani, anaweza kumfagilia huyo magufuli kwa chochote.
Kiufupi tu hana faida kwa wafanyakazi wa nchi hii. Amejawa tu na dharau, kiburi, roho mbaya na ya kikatili, ubinafsi, unafiki, ubaguzi, nk. Nachelea tu kumuombea mabaya kwa sababu na yeye ni binadamu kama mimi! ila kiukweli anatuzingua sana wafanyakazi.
Kiwango cha iq yako tafadhali ,maana kwa haraka haraka naona ubongo wako kama umefeli hiviāMtu anakuja anasema mbona hamjapandisha mishahara?, ukishampandisha Mtu daraja mshahara wake haubadiliki?, tumerekebisha PAE kutoka 11% hadi 9%, tumelipa malimbikizo ya Wafanyakazi zaidi ya Bil 500 hiyo sio fedha!?ā- JPM akiwa Mara
#MillardAyoUPDATES
Thatās a fact kutoka kwa mwanaume! Mawazo ya maendeleo. Reli ndiyo itazalisha ili kizazi cha baadaye kinufaike. Hata ulaya walifunga mikanda na leo hii wajukuu wanafaidi.Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Hizo pilau ulikuwa unawanunulia wewe? Je walikuwa wanatoka kichakani.Huwez kuelewa ila ndo kweli
Kama baba wa familia siwezi nikaacha kufanyia biashara hella nilonayo nikaenda kuwanunulia familia yng wale kuku kila siku wale, lazima uandae ubaadae wako ata kama ni kunywa uji kila siku, enzi zile nyumban miaka ya late 90's nyumban tulikuwa tunakula mlo moja kwa siku,
Tuliishi vibaya ila ni kwakuwa wazazi walikuwa wanatafta na wakazipata, lazima uelewe unaenda wapi na msimamo wako
Kuna mschana nilikuwa nae nikamuacha bila sababu, sijui ka alikuwa ananidanganya ama ni kweli, yeye kwao kila siku ni pilau, kuku, nyama, mbuzii, birthday noma, japo alikuwa ana bonge la tako na kashiba ila familia yao ilikuwa ni kama kichu cha muhim kwao ni kula tu na hamna maendeleo
Nikamuacha maana niliona hawana akili
Je hilo lipo kwenye development plan ya nchi au ni matakwa ya rais na waliomzunguka kutaka namna ya kuchajachua hela maana kama ni hivyo basi Prof. Assad asngestaafishwa kwa lazima.Thatās a fact kutoka kwa mwanaume! Mawazo ya maendeleo. Reli ndiyo itazalisha ili kizazi cha baadaye kinufaike. Hata ulaya walifunga mikanda na leo hii wajukuu wanafaidi.
Kwa anayofanya kufagiliwa muhimu, lakini kwa ajenda ya kupandisha mishahara na malimbikizo vita iko palepale. Tukutane 28OctoberNa ndiyo maana hayupo mfanyakazi wa nchi hii mwenye akili zake timamu kichwani, anaweza kumfagilia huyo magufuli kwa chochote.
Kiufupi tu hana faida kwa wafanyakazi wa nchi hii. Amejawa tu na dharau, kiburi, roho mbaya na ya kikatili, ubinafsi, unafiki, ubaguzi, nk. Nachelea tu kumuombea mabaya kwa sababu na yeye ni binadamu kama mimi! ila kiukweli anatuzingua sana wafanyakazi.
Kasema ukweli kwa sababu akifanya hivyo bila mipango ni matokeo ya mfumuko wa being kwenye mahitaji ya Kila siku, wafanyakazi msiangalie masirahi yenu tu angalieni na masirahi ya watu wenye maisha ya kawaida.Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Ni baba mpumbavu pekee anayeweza kuwanyima watoto wake chakula, au anayeweza kuwaambia watoto wake siwanunulii chakula kwa kuwa najenga nyumbaMgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Msiwatie moyo wafanyakazi wakimchagua huyu akapita ndio imekula kwao mazima.Kaongea ukweli...poleni wafanyakazi, wastaafu na wengineo... muhimu msikate tamaa uvumilivu unahitajika hapa, huenda mambo yakanyooka huko mbeleni.
Sio wafanyakazi tu, kila mtu anaenda kulia. Huyu baba ana roho ya kikatili sanaMsiwatie moyo wafanyakazi wakimchagua huyu akapita ndio imekula kwao mazima.
Hao watu wenye maisha ya kawaida wakipata matatizo wanawaomba wafanyakazi wawasaidie. Wala hawaendi kuomba msaada kwa SGR. Annual increment ipo kisheria na ni haki ya kila mfanyakazi. Aende akaombe kura vitu alivyojenga vimpigie kuraKasema ukweli kwa sababu akifanya hivyo bila mipango ni matokeo ya mfumuko wa being kwenye mahitaji ya Kila siku, wafanyakazi msiangalie masirahi yenu tu angalieni na masirahi ya watu wenye maisha ya kawaida.
Wafanyakazi wapo laki tano na nusu wakati jumla ya watanzania ni milioni 59.7.Na ndiyo maana hayupo mfanyakazi wa nchi hii mwenye akili zake timamu kichwani, anaweza kumfagilia huyo magufuli kwa chochote.
Kiufupi tu hana faida kwa wafanyakazi wa nchi hii. Amejawa tu na dharau, kiburi, roho mbaya na ya kikatili, ubinafsi, unafiki, ubaguzi, nk. Nachelea tu kumuombea mabaya kwa sababu na yeye ni binadamu kama mimi! ila kiukweli anatuzingua sana wafanyakazi.
Unamaanisha kuwa ukiishiwa ugali nyumbani unaenda kwa mwalimu au daktari akusaidie unga?? Niweke sawa yawezekana sijakuelewa vizuri, Suala la haki yako kisheria silipingi mkuu, Lakini sina imani kama utafurahi kuona asiye na kitu anazidi kunyimwa ili wewe uliye na kidogo uongezewe kwa kile unachokiita kuwa ni sheria, Siwezi kukuingilia kwenye maamuzi yako, lakini Kama wewe ni msomi tayari wewe ni kioo Cha jamii. Ni vizuri kufikiri sana katika kila maamuzi utakayotaka kuyachukua.Hao watu wenye maisha ya kawaida wakipata matatizo wanawaomba wafanyakazi wawasaidie. Wala hawaendi kuomba msaada kwa SGR. Annual increment ipo kisheria na ni haki ya kila mfanyakazi. Aende akaombe kura vitu alivyojenga vimpigie kura
Yeye pia analishwa bure n serikali kama mtoto hadi boxer hajui bei yake mwambieni ajihudumie ili aipunguzie serikali matumizi ya kijingaAnachokisema Magufuli ni very logical,
Reli ni kwa manufaa ya wote,
Hata vizazi vya baadae vitanufaika nayo.
Hayo anayoyataja hayana uhusiano wowote,kupanga ni kuchagua.Mh.anataka kutuaminisha kuwa reli zilishindikana kujengwa kwa sababu ya kuajiri na kuongeza mishahara?ATC ilikosa ndege kwa sababu ya kupandisha watumishi mishahara,wanafunzi kusoma kwa ada au kutoa mikopo kwa wanavyuo?Anaposema ameongeza mishahara kwa kupunguza PAYE pia siyo kweli,hizo asilimia 9 za punguzo la PAYE ni tangia Mzee Kikwete na linawahusu kundi LA KCC ambacho ni <300,000/=.Je,hiyo PAYE ni Msahafu/Biblia kiasi cha kuing'ang'ania?Hawa watumishi wanapoenda mtaani kufanya manunuzi hulipa kodi zote kama RAIA wengine,why PAYE?Huo ni unyonyaji,mtumishi analipa kodi zaidi kuliko hata wafanyabiashara wakubwa.Haki ni pamoja na usawa, huwezi zungumzia haki wakati usawa hakuna, yani wafanyakazi wawe na mishahara mikubwa wakati wanafunzi wanakaa chini, wawe na laptop wakati hatuna maabara, mishahara yenyewe ikiwa mikubwa watashindwa kujenga na kununua magari kwasababu miundombinu ya kuendesha magari itakuwa mibovu, watashindwa kusafirisha vifaa vya ujenzi kwani gharama itakuwa kubwa sana kutokana na usafirishaji ndio maana tunajenga reli, mabwawa ya umeme n.k
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app