Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,856
- 814
wafanyakazi wa nchi hii wenyewe wanasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana kabla ya huyu hakukua na chochote kilichofanyika?Hawawezi kumaliza tatizo kwa miaka mitano either wangebase kwenye madawati tu sasa bahati mbaya majengo kwa maana ya madarasa, nyumba za walimu, vyoo nayo ni mabovu sasa tukitengeneza madawati wanafunzi watakaa nje?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Nyongeza ya kila mwaka inaleta siniority kwa aliyefanya mda mrefu, mafao ya kustaafu yanaongezeka. Iweje mtu wa 2015 afanane na wa 2020. Nyongeza ni motisha muhimuMagufuli ni jembe, watumishi tumchagueni.
Kweli na Mara leo full siriaziAnachokisema Magufuli ni very logical,
Reli ni kwa manufaa ya wote,
Hata vizazi vya baadae vitanufaika nayo.
Ata apae kama malaikaWazazi wetu walifunga mkanda kiukweli ukweli na tulishuhudia wenyewe wakiishi maisha hayo.
Sasa leo mtu anayekwambia funga mkanda yeye yuko zake anazunguka na ma V8 kwa mamia na helicopter juu,ana mshahara wa mamilioni,bima za afya uhakika kwake na kwa familia yake tena watoto wake na ndg zake wakipata kazi kwny mashirika ya umma manono, ila watoto wa maskini ndio wanaambiwa wakachukue vitambulisho vya wamachinga.
Huo Mkanda yeye anaufungia wapi?
KURA YANGU HUPATI NG'O ! Msema kweli ni mpenzi wa Mungu😁😁😂😂😂Mgombea urais wa ccm amesema, hawezi kuongeza wafanyakazi mshahara na huku anajenga reli,elimu bure,miradi mikubwa kwa sababu na wafanyakazi watatumia hivyo vitu
Poleni wafanyakazi ,twende na Lissu
=====
View attachment 1559428
DKT MAGUFULI: MARA
> Huwezi ukaacha kujenga reli, ukasema hii hela naenda kupandisha mishahara
> Huwezi ukaacha kujenga vituo vya afya, ukatumia hiyo hela kupandisha mishahara
#Uchaguzi2020
Sasa ndio Stigler's na ndege zimpigie kura.Ata apae kama malaika
Ukipewa uchague kati ya kujenga miundombinu na kuongeza mishahara utachagua nini, ukizingatia una hella ya kufanya jambo moja, kingine ni kuwa vitu havijapanda bei kihivyo na dolla iko palepale
Awamu ya Samia mama mropokaji, sijawahi kuona beforeKuna siku Zitto alisema Awamu hii wanafanya vitu kama dunia inaisha kesho.
Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Kaongea ukweli...poleni wafanyakazi, wastaafu na wengineo... muhimu msikate tamaa uvumilivu unahitajika hapa, huenda mambo yakanyooka huko mbeleni.Inasikitisha sana...
Siyo! % ya PAYE iliyopunguzwa ni kidogo mno kuilinganisha na ongezeko lolote la mshahara linalowezekana. Ikumbukwe wengi wanadai tu nyongeza ya kisheria ya kila mwaka na kupanda vyeo kwa kuwa wamefikia vigezo. Hakuna nchi isipokuwa Tz ambako wanasimamisha mshahara na vyeo kiasi hicho. Hakuna. Na siyo kwamba hao hawajengi miundo mbinu. Balance, bwana, balance!Tatizo wao wanataka tuongeze sent ila sie twapunguza paye percentage tu so ni njia indirect ya kuongeza mshahara.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huko mbele tutakuwa tumekufa! In the long run we are all dead!Kaongea ukweli...poleni wafanyakazi, wastaafu na wengineo... muhimu msikate tamaa uvumilivu unahitajika hapa, huenda mambo yakanyooka huko mbeleni.
Bahati yako nimejiweka kitume na ninajiandaa kwenda kanisani kutubu dhambi zangu.Kaongea ukweli...poleni wafanyakazi, wastaafu na wengineo... muhimu msikate tamaa uvumilivu unahitajika hapa, huenda mambo yakanyooka huko mbeleni.
Jembe linaloulima mshahara wa watumishi bila huruma 🤣Magufuli ni jembe, watumishi tumchagueni.