Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,433
- 3,210
Habari za humu wadau, poleni na hongereni na pilika za kampeni.
Juzi kati nimesikitishwa na kitendo cha mgombea kupitia kiti cha ccm ambaye kawaita watu wa kigoma kwamba wana akili sana,
nawakosoa kwa sababu,
Magufuli huyuhuyu kakataa katakata treni ya umeme isifike kigoma bali iende mwanza , huu mgogoro zitto kapiga kelele saaana akijaribu kuonesha umuhimu na utofauti uliopo kati ya reli kutoka mwanza na kigoma lakini huyo aliyewaita mna akili sana hakujali kwa ufupi hawatakii mema.
Bandari ilielezwa ijengwe kigoma kwa ajili ya kuimarisha shughuli nyingi kupitia ziwa Tanganyika lakini huyu anayewaita mna akili sana hilo nalo kakataa kapeleka mwanza.
Upande wa uwanja mkubwa wa ndege inasemekana na wenyew kakataa vilevile nadhani itakuwa ndo huo uliojengwa mbingu ya chato.
Siku zote ukiona mwanasiasa anakusifu wewe raia una akili sana au mwelewa shtuka mapema
N.B: Mtu asiyekubali kushindwa kwa chochote daima atapata lolote katika mda wowote.
Juzi kati nimesikitishwa na kitendo cha mgombea kupitia kiti cha ccm ambaye kawaita watu wa kigoma kwamba wana akili sana,
nawakosoa kwa sababu,
Magufuli huyuhuyu kakataa katakata treni ya umeme isifike kigoma bali iende mwanza , huu mgogoro zitto kapiga kelele saaana akijaribu kuonesha umuhimu na utofauti uliopo kati ya reli kutoka mwanza na kigoma lakini huyo aliyewaita mna akili sana hakujali kwa ufupi hawatakii mema.
Bandari ilielezwa ijengwe kigoma kwa ajili ya kuimarisha shughuli nyingi kupitia ziwa Tanganyika lakini huyu anayewaita mna akili sana hilo nalo kakataa kapeleka mwanza.
Upande wa uwanja mkubwa wa ndege inasemekana na wenyew kakataa vilevile nadhani itakuwa ndo huo uliojengwa mbingu ya chato.
Siku zote ukiona mwanasiasa anakusifu wewe raia una akili sana au mwelewa shtuka mapema
N.B: Mtu asiyekubali kushindwa kwa chochote daima atapata lolote katika mda wowote.