Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli kakataa treni ya umeme isifike Kigoma bali iende Mwanza?

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli kakataa treni ya umeme isifike Kigoma bali iende Mwanza?

I thought kua reli hata mkoloni alijenga na ni maendeleo ya vitu na sio muhimu?
Nini Kimebadilika?

Anyway kiuchumi Reli ya kwenda Mwanza ni Economical viable kuliko Kigoma, hivyo ilistahili kupata priority kwa sababu zifuatazo.

1. Reli ya Kwenda Mwanza inaunganisha na Mkoa wa Shinyanga while ya kigoma inaenda mkoa mmoja tu(two regions by one).

2. Reli ya Mwanza LOCALY itahudumia mikoa ya jirani km Shinyanga, Geita, Kagera, Simiyu na Mara while ya Kigoma haina mkoa jirani itakao hudumia zaidi ya Katavi yenye reli yake.

3. Kimataifa Reli ya Mwanza itahudumia inchi za Uganda via ziwa Victoria, Rwanda, Burundi na Congo kwa Kupitia Isaka while ya kigoma itahudumia Congo na Burundi (4 countries by 2 countries)

4. Reli ya Mwanza inatoa Altenative route kwa Mizigo inayotoka kwenda land locked countries kutoka Mombasa-Kisumu mpaka Mwanza kwa ziwa victoria then Isaka-Rwanda, Burundi au Congo(and vice versa) while Kigoma doesn't have that option.

5.Uki refer to point no 1,2,3 na 4 utagundua kua route ya Mwanza itagusa maisha ya wanainchi wengi zaidi kuliko ya Kigoma.

6.Uchumi wa Mkoa wa Mwanza km Mkoa ni mkubwa probably mara mbili au 3 kulinganisha na mkoa wa kigoma.. hii ina maanisha ht bidhaa za kutoka mwanza kurudi na reli ni nyingi kuliko kigoma.

7. Idadi ya Wakaazi wa mkoa wa Mwanza ni kubwa kuliko Mkoa wa kigoma na hili lina impact ktk idadi ya abiria e.g 40% ya abiria wote wa ATCL ni route ya Mwanza, so unaweza kupata picha ya impact ya Mwanza in terms of Abiria na purchasing power yao.

8. Ukirefer to all the points above utagundua kua itakuchua less yrs kupata Return on Investment kwenye route ya Mwanza ukilinga nisha na Route ya Kigoma.

N:B Reli ya Kigoma nayo ipo kwenye mipango( Phase II), it was just a matter of priorities.

Nway nakaribisha point kinzani na sio Matusi...Tujadiliane km Great thinkers nami nipo teyari kujifunza nisiyoyajua ktk faida za Route ya kigoma.
 
Kuwaita mna akili sana ni mbinu ya kuwachota tu

Jiwe kabadirisha plan ya awali ya reli ya SGR ambayo ilitakiwa iende Kigoma kwa ajili ya uwepo wa bandari ya Kigoma yenye kuhudimia Congo, Burundi etc, yeye kaipeleka mwanza ambako hakuna mzigo wowote wa maana kwenye bandari ya Mwanza.

Maamuzi ya kubadili plan ya uelekeo wa reli hiyo ni muendelezo uleule tu wa ukabila wa kutaka kupeleka reli "kwao" kama alivyojenga uwanja wa ndege Chato!
Si mlisema siyo Msukuma?? Mbona nyinyi ni vigeugeu?
 
Mkuu umeeleza kila kitu atakayekubishia atakuwa hajui uchumi.
 
Bandari ya Kigoma ni muhimu kwani inasaidia biashara. Kuna mizigo mingi inayoingia Afrika kupitia bahari na hushukia Ghana ambayo husafirishwa mpaka Congo na kufika Ziwa Tanganyika. Baadhi ya bidhaa hizi ni Hollandaise Wax au Vitenge vya Wax kutoka Holland.
Yaani unasema mizigo mingi then una refer vitenge!! Are you serious?? Wewe kweli zero tunazungumza mizigo mikubwa na ya maana. Mikoa ya kanda ya ziwa kuna migodi ambayo inahitaji vitu kibao ikiwepo mafuta ya kuendeshea mitambo kwa mfano Geita Gold Mine kila siku kwa sasa inapokea malori ya mafuta kama 200 hadi 300 bado Kakola, Mwadui, Tarime na Kagera hapo tunazungumzia mizigo ya ndani bado kuna Uganda, Rwanda na Burundi. Sasa njia ya Kigoma kwa ndani ya Tanzania upande wa Kigoma almost hakuna mgodi hata mmoja unazungumzia Kongo pekee yake.
 
1601409489772.png


..Kila anayechangia arejee ktk ramani hiyo hapo juu.
 
Duh... Sasaivi mnataka maendeleo ya vitu na sio yawatu km Rais wa mioyo yenu anavyosema?
Nyie watu niwanafki Sana!
 
Asante sana kweli hakika wewe ni great thinker nakupongeza sana kwa msomi ataelwa lakini alie umbwa kutoelewa hata elewa atataka kupinga tu
 
Habari za humu wadau, poleni na hongereni na pilika za kampeni.

Juzi kati nimesikitishwa na kitendo cha mgombea kupitia kiti cha ccm ambaye kawaita watu wa kigoma kwamba wana akili sana,
nawakosoa kwa sababu,

Magufuli huyuhuyu kakataa katakata treni ya umeme isifike kigoma bali iende mwanza , huu mgogoro zitto kapiga kelele saaana akijaribu kuonesha umuhimu na utofauti uliopo kati ya reli kutoka mwanza na kigoma lakini huyo aliyewaita mna akili sana hakujali kwa ufupi hawatakii mema.

Bandari ilielezwa ijengwe kigoma kwa ajili ya kuimarisha shughuli nyingi kupitia ziwa Tanganyika lakini huyu anayewaita mna akili sana hilo nalo kakataa kapeleka mwanza.

Upande wa uwanja mkubwa wa ndege inasemekana na wenyew kakataa vilevile nadhani itakuwa ndo huo uliojengwa mbingu ya chato.

Siku zote ukiona mwanasiasa anakusifu wewe raia una akili sana au mwelewa shtuka mapema

N.B: Mtu asiyekubali kushindwa kwa chochote daima atapata lolote katika mda wowote.
Wanakigoma mkataeni magu.
 
Kuwaita mna akili sana ni mbinu ya kuwachota tu.

Jiwe kabadirisha plan ya awali ya reli ya SGR ambayo ilitakiwa iende Kigoma kwa ajili ya uwepo wa bandari ya Kigoma yenye kuhudimia Congo, Burundi etc, yeye kaipeleka mwanza ambako hakuna mzigo wowote wa maana kwenye bandari ya Mwanza.

Maamuzi ya kubadili plan ya uelekeo wa reli hiyo ni muendelezo uleule tu wa ukabila wa kutaka kupeleka reli "kwao" kama alivyojenga uwanja wa ndege Chato!


Yeye haangalii maslahi mapana ya nchi bali anaangalia maslahi mapana ya Ukabila ya maeneo anakotoka, hata katika kampeni zake akiwa huko kanda ya ziwa hupenda sana kuongea kisukuma ambapo ni kinyume na sheria za NEC na hii yote ni ishara ya Ukabila. JPM ajirekebishe.
 
Huyu jamaa kawashika wapi , kila kukicha, watu wamnawi hata uso
 
Back
Top Bottom