Dkt. Magufuli, Kigoma tunakushukuru Fedha na Elimu - hatutakuangusha

Dkt. Magufuli, Kigoma tunakushukuru Fedha na Elimu - hatutakuangusha

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
WanaKigoma,
Huu ni ujumbe mahususi kwa Mhe Dkt Magufuli kwa heshima aliyotuonesha, aliyotupatia kufuatia uteuzi wa wasaidizi wake kwa nafasi ya uwaziri ambapo Wizara ya Fedha kamuteua Isidory Mpango, na Wizara ya Elimu na Mafunzo kamuteua Prof Ndalichako.

Hii ni heshima kubwa sana tuliyopewa na kiongozi mkubwa nchini - ni imani kubwa aliyonayo kwa wateuliwa. Niwaombe wateuliwa wote wafanye kazi kufa kupona, kwa imani na matendo kumsaidia Mhe Dkt Magufuli kwa nafasi alizowapa.

Aidha, niwaombe wananchi wote wa mkoa wa Kigoma bila kujali itikadi za vyama vya siasa "CDM, ACT, CUF, NCCR, UDP, nk kuwapa ushirikiano thabiti wateuliwa ili watimize majukumu yao kwa ufanisi mkubwa sana. Aidha, kwa pamoja tumpe ushirikiano Mhe Dkt Magufuli na chama cha Mapinduzi ili tuweze kufikia maendeleo kwa haraka.

Mwisho
Nivuke mpaka na kwenda mkoani Kagera ambapo Bashungwa na Adv Byabato wameteuliwa kumsaidia Mhe Dkt Magufuli kazi - JPM be blessed!
Hatukuangushi!!!
 
Nikadhani kawapa fedha kwa ajili ya miradi ya elimu kumbe unasifia watu wenu kuwepo kwenye baraza la mawaziri, kweli Kigoma mwisho wa reli.
 
Kwa waziri wa elimu amefeli kiasi fulani.

Ni wizara inayohitaji mtu mwenye bidii,maarifa na Nidhamu.
Niliamini sana kuwa huyu mama anauwezo huo,ila sijui kwa nini ameshindwa mambo madogo kama kuhakikisha vyuo vya NACTE vinaendeshwa kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni.Vyuo vingi havina bodi na hata vilivyo na bodi hazina nguvu.
Wamiliki wanajipangia chochote wanachojisikia.
Yako mambo mengi katika wizara hii.Inahitaji mtu mbunifu.
 
Kwa waziri wa elimu amefeli kiasi fulani.

Ni wizara inayohitaji mtu mwenye bidii,maarifa na Nidhamu.
Niliamini sana kuwa huyu mama anauwezo huo,ila sijui kwa nini ameshindwa mambo madogo kama kuhakikisha vyuo vya NACTE vinaendeshwa kwa mujibu wa sheria taratibu na kanuni.Vyuo vingi havina bodi na hata vilivyo na bodi hazina nguvu.
Wamiliki wanajipangia chochote wanachojisikia.
Yako mambo mengi katika wizara hii.Inahitaji mtu mbunifu.
OK, nadhani siku moja anzisha Uzi wa kushauri kwa kina maeneo yote yanayohitaji kuwekewa umuhimu - changamoto za wizara hiyo ni ukubwa wake na jinsi inavyogusa maisha ya jamii kila asubuhi mchana na jioni.
 
Siku Trillion 1.5 zikitolewa ufafanuzi zilienda wapi itapendeza pia au sio mleta mada?
 
Kwa mara ya kwanza ndio naona mtu wa Kigoma anayejipendekeza.
Where is your pride "e mugabo"!?
 
UPUUZI MTUPU!
WanaKigoma,
Huu ni ujumbe mahususi kwa Mhe Dkt Magufuli kwa heshima aliyotuonesha, aliyotupatia kufuatia uteuzi wa wasaidizi wake kwa nafasi ya uwaziri ambapo Wizara ya Fedha kamuteua Isidory Mpango, na Wizara ya Elimu na Mafunzo kamuteua Prof Ndalichako.

Hii ni heshima kubwa sana tuliyopewa na kiongozi mkubwa nchini - ni imani kubwa aliyonayo kwa wateuliwa. Niwaombe wateuliwa wote wafanye kazi kufa kupona, kwa imani na matendo kumsaidia Mhe Dkt Magufuli kwa nafasi alizowapa.

Aidha, niwaombe wananchi wote wa mkoa wa Kigoma bila kujali itikadi za vyama vya siasa "CDM, ACT, CUF, NCCR, UDP, nk kuwapa ushirikiano thabiti wateuliwa ili watimize majukumu yao kwa ufanisi mkubwa sana. Aidha, kwa pamoja tumpe ushirikiano Mhe Dkt Magufuli na chama cha Mapinduzi ili tuweze kufikia maendeleo kwa haraka.

Mwisho
Nivuke mpaka na kwenda mkoani Kagera ambapo Bashungwa na Adv Byabato wameteuliwa kumsaidia Mhe Dkt Magufuli kazi - JPM be blessed!
Hatukuangushi!!!
 
Z
Nikadhani kawapa fedha kwa ajili ya miradi ya elimu kumbe unasifia watu wenu kuwepo kwenye baraza la mawaziri, kweli Kigoma mwisho wa reli.
Zitto zuzuzuuuuu Kabwera naona anaendelea na dharau kwa Wanakigoma. Tumekuchoooka Wewe mbrla
 
Kuna sehemu hata kwenye kampeni hakujali kama nako ni Tanzania akatelezea nyakanazi nikajua kwenye hizi teuzi atawapoza sasa naona ndo kakaza na shingo kama vile kule ni kwa kagame
 
hivi bado tunawatanzania wajinga kiasi hiki? kazi ipo
 
WanaKigoma,
Huu ni ujumbe mahususi kwa Mhe Dkt Magufuli kwa heshima aliyotuonesha, aliyotupatia kufuatia uteuzi wa wasaidizi wake kwa nafasi ya uwaziri ambapo Wizara ya Fedha kamuteua Isidory Mpango, na Wizara ya Elimu na Mafunzo kamuteua Prof Ndalichako.

Hii ni heshima kubwa sana tuliyopewa na kiongozi mkubwa nchini - ni imani kubwa aliyonayo kwa wateuliwa. Niwaombe wateuliwa wote wafanye kazi kufa kupona, kwa imani na matendo kumsaidia Mhe Dkt Magufuli kwa nafasi alizowapa.

Aidha, niwaombe wananchi wote wa mkoa wa Kigoma bila kujali itikadi za vyama vya siasa "CDM, ACT, CUF, NCCR, UDP, nk kuwapa ushirikiano thabiti wateuliwa ili watimize majukumu yao kwa ufanisi mkubwa sana. Aidha, kwa pamoja tumpe ushirikiano Mhe Dkt Magufuli na chama cha Mapinduzi ili tuweze kufikia maendeleo kwa haraka.

Mwisho
Nivuke mpaka na kwenda mkoani Kagera ambapo Bashungwa na Adv Byabato wameteuliwa kumsaidia Mhe Dkt Magufuli kazi - JPM be blessed!
Hatukuangushi!!!
saww huu ni ukanda tu
 
saww huu ni ukanda tu
No, JPM mambo ya ukanda hana - miradi inatekelezwa kote bila upendelea - fikiria mkoa kama kigoma barabara za kuunga mkoa - mkoa zilikuwa bado - magharibi na nyanda za juu waunganishe nguvu kusaidia wananchi wa maeneo hayo
 
Back
Top Bottom