Whiteman confusing
JF-Expert Member
- Sep 12, 2020
- 328
- 279
Chief najua ww ni shibik wa kijana, unajua ipo ivi unapohongelea maendeleo ya Watu, na vitu vinautoufauti mkubwa sana twende sawaTAARIFA:
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli kesho Jumatatu asubuhi, atafanya mkutano wa kampeni eneo la Kinyerezi Mwisho katika Jimbo la Segerea na Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.
My Take
Mbona hivi
Maendeleo ya vitu maana watu wachache wananufaika mfn Ndege utawanufaisha watu wenye maisha ya juu wanauwezo waku_ afford tofauti na Mwanachi wa hali ya chini haimusu
Maendeleo ya watu hapa sas tunazungumuzia tangible isues kama local road, hospital kilimo na miradi ya maji vijijini na migini mikopo vyuo vikuu
Kwa hiyo hivi vitu zikifanyika kwa ueledi kila mtu hanaweza Kupambana na mazingr kwa ujumla mkuu