Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli kuendelea na kampeni Dar es Salaam

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli kuendelea na kampeni Dar es Salaam

TAARIFA:

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli kesho Jumatatu asubuhi, atafanya mkutano wa kampeni eneo la Kinyerezi Mwisho katika Jimbo la Segerea na Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.

My Take
Mbona hivi
Chief najua ww ni shibik wa kijana, unajua ipo ivi unapohongelea maendeleo ya Watu, na vitu vinautoufauti mkubwa sana twende sawa
Maendeleo ya vitu maana watu wachache wananufaika mfn Ndege utawanufaisha watu wenye maisha ya juu wanauwezo waku_ afford tofauti na Mwanachi wa hali ya chini haimusu
Maendeleo ya watu hapa sas tunazungumuzia tangible isues kama local road, hospital kilimo na miradi ya maji vijijini na migini mikopo vyuo vikuu
Kwa hiyo hivi vitu zikifanyika kwa ueledi kila mtu hanaweza Kupambana na mazingr kwa ujumla mkuu
 
TAARIFA:

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli kesho Jumatatu asubuhi, atafanya mkutano wa kampeni eneo la Kinyerezi Mwisho katika Jimbo la Segerea na Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.

My Take
Mbona hivi
Mbona hivi vipi?
 
TAARIFA:

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli kesho Jumatatu asubuhi, atafanya mkutano wa kampeni eneo la Kinyerezi Mwisho katika Jimbo la Segerea na Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.

My Take
Mbona hivi
Gari bovu lazima lifanye test karibu na Gereji maana lolote linaweza tokea
 
0298ea907916114c88cbac5126cc88bc.jpg
 
Na kesho watasombwa pia kwani tatizo liko wapi?! Wewe unateseka na wafuasi kupewa usafiri?! Wasombwe tu...wenye malori, bajajii, teksi, bodaboda, mikokoteni, punda, baiskeli na kadhalika wasombwe tu...the end justify the means...Kama wote wataipigia kura CCM wewe inakuhusu?! Mnaumia kwa CCM kusombwa na malori?! Nyie Chadema endeleeni kutembea kwa miguu CCM haiwahusu...
Tunaumia uvunjaji wa sheria ya usafirishaji
 
TAARIFA:

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli kesho Jumatatu asubuhi, atafanya mkutano wa kampeni eneo la Kinyerezi Mwisho katika Jimbo la Segerea na Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.

My Take
Mbona hivi
Hali si shwari
 
Fatuma Lowassa kasema kamwe hawatampa kura ameyaongea hayo kwa niaba ya Wanawake weusi wa jiji la Dar
 
Chema chajiuza, kibaya chajitembeza.

Awamu ya Rais Magufuli kuna mazuri yamefanywa. Kuna mabaya mengi pua yamefanywa. Lakini mazuri yaliyoyafanyika hayafikii hata 10% ya wakati wa Mwalimu, wala hayafikii hata 25% ya wakati wa Mkapa, na wala hata 20% ya yaliyoyafanyika wakati wa awamu ya Kikwete.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, licha ya hata hayo machache yanayoonekana kuwa ameyafanya. Lakini pia ukiyachunguza kwa undani utakuta kuna upigaji wa kutisha wa fedha za umma. Na hiki ndicho hasa kiini cha yeye kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari.
 
Sasa ulitaka CCM wanachama wake waende kwa miguu? Hivi kuna mwanachadomo atakubali kusombwa aende uwanjani??
ccm by force ila chadema ni mahaba ya wananchi kujibeba popote walipo kuelekea alipo mgombea

nadhani nimeeleweka?
 
UKINUNA UWE NA SABABU!.Mnaomfatilia JPM kutwa kucha ! na kusema mara oh! Sijui mgonjwa , mara mapumzikoni! .Hii hapa ratiba ya kampeni kuanzia kesho Jumatatu tar 12 hadi Jumatano tar 14, ambapp pia siku ya Jumatano atawaongoza watanzania kupokea mgao wa zaidi ya bilioni 100 kutoka Barrick Gold ikiwa ni sehemu ya mafanikio ya kupitia mikataba ya madini na kutunga sheria zinazolinda madini na maliasili za Tanzania. JPM mitano tena!.
IMG_20201011_145102_908.jpg
IMG_20201011_145024_572.jpg
 
TAARIFA:

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli kesho Jumatatu asubuhi, atafanya mkutano wa kampeni eneo la Kinyerezi Mwisho katika Jimbo la Segerea na Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam.

My Take
Mbona hivi
Pemba Lini Zamu Yetu, Mtwara, Lindi Katavi
 
Back
Top Bottom