quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 165
Jibu maridhawa kabisaMmekatazwa na nyie kusomba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu maridhawa kabisaMmekatazwa na nyie kusomba?
Kwani chadema ndio walikaa getini na kuondoa ccctv siku ileWalaumiwe Chadema kwa kutaka kumdhulumu lissu
Rais Magufuli ushindi ni 98%
Watanzania tutampigia kura hata asipopiga kampeni
Ameifanyia Tanzania makubwa
Mkuu nasikia wanataka kuwalipa pesa zao kabla ya octoba 28.Labda vyombo vya Euro na sio dola.Dola awajaongezewa mishahara Wana hasira nao hatari ukiwasikiliza Hawa wadogo wanataka mabadiliko,achilia Hawa mabosi zao ambao ni wanufaika.
Wa piga kura wengi wa dar huwa hatuhudhirii mikutano ya wanasiasa, tunangoja kutumia kichinjioHuelewi nn sasa
Dar ndio mkoa wenye wapiga kura wengi lazima akomae.
Sasa nyie endeleeni na kutafuta Kura maeneo ya watu wachache.
Labda watanzania wa Policcm, Necccm, Tissuvccm, TRACcm, Uhamiajiccm, msajiliccm, Ila watanzania ambao ni wakulima, Wanavyuo, wafanyakazi, wavuvi,na wastaafu wanasema wanajambo lao 28/10Watanzania wa wapi unawazungumzia wewe?! Ni mtanzania wa wapi hao wanaishi Kama wakimbizi? Wewe Bila Shaka haupo Tanzania...hayo ni maneno ya beberu Robert Amsterdam.
Mtanzania anaishi Kama mkimbizi?! Yaani hapa TZ?! Nyie watu kweli mmeishiwa hoja...ni weupe kabisa...halafu ni waongo Kama Lissu wenu, mzee wa faragha, na imperialist stooge au kibaraka wa mabeberu...hiyo Oktoba 28 ndipo mtajua Kama watanzania wanaishi Kama wakimbizi ...mtapata kipigo kikubwa Cha kisiasa...mamilioni ya watanzania wamejiandaa kufanya Jambo kubwa nalo ni kumwadhibu Lissu kwa kura..
Ahaha ok sawaLabda watanzania wa Policcm, Necccm, Tissuvccm, TRACcm, Uhamiajiccm, msajiliccm, Ila watanzania ambao ni wakulima, Wanavyuo, wafanyakazi, wavuvi,na wastaafu wanasema wanajambo lao 28/10
.....halafu kina Dai walivomaliza show yao wapiga kura watarajiwa nao wakasepa kabla ya kusikiliza sera yaani!jana walisombwa mkoa mzima kujaa pale taifa
Rais Magufuli ushindi ni 98%
Watanzania tutampigia kura hata asipopiga kampeni
Ameifanyia Tanzania makubwa
Kweli kabisa, wenye mtindio wa ubongo ndio wanampenda na ndio watamchagua huyu kibaraka.View attachment 1596914 hakuna msanii anayejitambua anayeweza kwenda kumsikiliza mtu mwenye matatizo ya akili
Jana nilipita kwenye kituo cha mwendokasi nikamkuta mamantilie anakaanga vitumbua huku anauza. Nikavitamani nikasema nimuungishe mwanamke mwenzangu. Nikamuuliza anaonaje mazingira ya biashara?Watanzania wa wapi unawazungumzia wewe?! Ni mtanzania wa wapi hao wanaishi Kama wakimbizi? Wewe Bila Shaka haupo Tanzania...hayo ni maneno ya beberu Robert Amsterdam.
Mtanzania anaishi Kama mkimbizi?! Yaani hapa TZ?! Nyie watu kweli mmeishiwa hoja...ni weupe kabisa...halafu ni waongo Kama Lissu wenu, mzee wa faragha, na imperialist stooge au kibaraka wa mabeberu...hiyo Oktoba 28 ndipo mtajua Kama watanzania wanaishi Kama wakimbizi ...mtapata kipigo kikubwa Cha kisiasa...mamilioni ya watanzania wamejiandaa kufanya Jambo kubwa nalo ni kumwadhibu Lissu kwa kura..
Hizo porojo peleka lumumba kwa wajinga wenzioJana nilipita kwenye kituo cha mwendokasi nikamkuta mamantilie anakaanga vitumbua huku anauza. Nikavitamani nikasema nimuungishe mwanamke mwenzangu. Nikamuuliza anaonaje mazingira ya biashara?
Akanijibu nasubiri siku nikampe tena Magufuli, siku hizi nauza vitumbua 300 asubuhi na jioni 200 bila bugha, huyo anayesema ataondoa vitambulisho hatumpi😁😁😁
Nikajinunulia vitumbua vyangu 10 kwa furaha sana sababu John Pombe Magufuli ana wapiga kura sio kwaajili ya kampeni ila sababu ya utendaji wakewake. Wacha na jumatatu nipite tena ninunue vingine
Hizo porojo hadi kwenye sanduku la kura hizo. Mtaisoma nambaHizo porojo peleka lumumba kwa wajinga wenzio