Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
- Thread starter
-
- #21
Magufuli alimpiku Nyerere kimtindoTangia kuumbwa kwa dunia, Tanzania haijawahi kupata rais wa hovyo kama marehemu dikiteta magufuli. Kifo cha mchato happened for a good reason.
Ujui unachoongea weweNilijua tu post kama hii itakuwepo
Mkuu mimi mwananchi wa kawaida sihitaji hayo mavyeo kwa tarifa yako mimi nimkulima nipo huku kijijini navuna ufuta na naridhika na kilimo changu cha small scale
Mkuu siku nikipata nafasi nitakwambia kuhusu binadamu walivyo wabaya, kwa kudokeza tuu binadamu akiamua kukuchafua nisekunde chache sanaYeah, kazi ya miili kwenye viroba kule pwani haikuwa ya kitoto - huyu alistahili hata kuiongoza Marekani na Ulaya yoote. Mwendazake kwa kupoteza alikuwa na sifa ya kipekee!!
Kuna baadhi ya watu wakipewa hata mamlaka ktk familia utajua tuuuuuKwamba hakupenda kujimwambafy?
Una maana huyu huyu wa awamu ya tano?
Wajameni ya kweri hayo?
Bado hatujaanza kuuza ila mwaka jana tuliuza mpaka 30000 debe mojaUjui unachoongea wewe
Uyo unamtetea kaharibu Sana soko la biashara ya mazao kwa ubabe wake usio na kichwa Wala miguu...
ulikuwa kipofuMkuu me naona hayo yoote aliyaishi
Sjajua unadanganya kwa manufaa ya Nani?Bado hatujaanza kuuza ila mwaka jana tuliuza mpaka 30000 debe moja
Hapana mkuu ila ukweli matendo yaliongeaulikuwa kipofu
Mkuu jitambue basi'..baki na maviiyako'
Upo mkoa gani mkuuSjajua unadanganya kwa manufaa ya Nani?
Rais wa ajabu angesimamisha chuma kile ubungoMagufuli ni rais wa ajabu hajawahi kutokea rais wa ajabu ajabu kwa yule.Tanzania tumejifunza kwake hatutarudia tena makosa kama yale.
Bibie sante kwa ukumbusho.Hata wewe itafika siku yako utakufa pia, kifo kipo kwa kila kiumbe kilicho hai siku yake itakapofika
Kifo hakidhihakiwi coz ni mapito ya watu wote.