Dkt. Magufuli kwaheri, ulistahili kuwa Rais wa Dunia

Dkt. Magufuli kwaheri, ulistahili kuwa Rais wa Dunia

Rais wa dunia asiyeipenda dunia? Si angefutilia mbali wale so called mabeberu?

Magufuli alikuwa mtendaji mzuri he would have made a very good prime minister, ila kwa Rais (binafsi hata Rais wa Kirabu cha mpira nisingempa kura) Hakuwa muunganishi.
Kama huna la kuchangia, kutulia ni option nzuri pia😱!
 
Mkuu usije jikuta umebaki mwenyewe katika nyimbo za kusifu.Tumpumzishe huyu mzee.
Iwe ni kwa mazuri au mabaya.
 
Kwani nini maana ya kuwa rais mkuu au urais unachagua ukoo na familia.
Naona mmejipanga kwelikweli kuendelea kumuenzi kwa nguvu zote. Ila legacy ya mtu huwa hailazimishwi kuishi, kama ipo itaendelea kuwepo tu msiivute kwa winchi
 
Rais wa dunia asiyeipenda dunia? Si angefutilia mbali wale so called mabeberu?

Magufuli alikuwa mtendaji mzuri he would have made a very good prime minister, ila kwa Rais (binafsi hata Rais wa Kirabu cha mpira nisingempa kura) Hakuwa muunganishi.
Rated 5 stars
 
Hivi kutoongeza mishahara in uzalendo? Kujenga majumba na miundo mbinu ndiyo uzalendo?
Mzalendo ni mtu anayeipenda nchi na watu wake, hivyo Magufuli alikuwa na Element zote za uzalendo nenda kasikilize hotuba aliyotoa pale mbezi kituo kipya cha mabasi utajua kweli Alikua na vision
 
Rais wa dunia asiyeipenda dunia? Si angefutilia mbali wale so called mabeberu?

Magufuli alikuwa mtendaji mzuri he would have made a very good prime minister, ila kwa Rais (binafsi hata Rais wa Kirabu cha mpira nisingempa kura) Hakuwa muunganishi.
17/3 of every year is a celebration for all Tanzanians
 
Rejea uzi huo
Screenshot_2021-04-12-21-25-39-95_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
 
Hayati Magufuli alikuwa mzalendo na anayejua nini maana ya uongozi Magufuli alitamani watanzania woote tuwe wazalendo na ndiyo maana hakutaka kuongeza mishahara ili fedha zitumike kujenga nchi.

Ukiachilia mbali yeye kuwa Rais ila alijiweka kama mwananchi wa kawaida hakupenda kujimwambafai kwakifupi alikua karibu na wananchi, Hayati Magufuli alikua ni great thinker mtu mwenye utambuzi na mwenye maono.

Alitamani kila Mtanzania anufaike na rasilimali ya taifa letu ndiyo maana alipambana na mabepari na wakoloni weusi, magufuli alikua mchamungu sana na hakua mbaguzi hakua mdini.

Hakika kuna mengi aliyafanya na angeendelea kuwepo hakika angetufikisha nchi ya Ahadi.
Kamfufue . Bwege wewe? Raisi wa dunia awe magufuli hata English hajui? Mpumbavu wewe
 
Tangia kuumbwa kwa dunia, Tanzania haijawahi kupata rais wa hovyo kama marehemu Magufuli. Kifo cha mchato happened for a good reason.
Alikuwa raisi wa propaganda. Pumbavu sana yule.
Bwana ametenda maajabu yake
 
Kwa ufupi qualities za mtendaji na kiongozi ni tofauti..., baadhi ya qualities za a good leader ni zifuatazo, (angalia mwenyewe Magufuli alikuwa nazo ngapi);

  • Integrity
  • Ability to delegate
  • Communication
  • Self-awareness
  • Gratitude
  • Learning agility
  • Influence
  • Empathy
  • Courage
  • Respect
Etiii,
Hivi yule wanamwita C.E.O,
Huwa Ni kiongozi, au mtendaji...
 
Rais wa dunia asiyeipenda dunia? Si angefutilia mbali wale so called mabeberu?

Magufuli alikuwa mtendaji mzuri he would have made a very good prime minister, ila kwa Rais (binafsi hata Rais wa Kirabu cha mpira nisingempa kura) Hakuwa muunganishi.

wivu mchaga wewe
 
Kwa ufupi qualities za mtendaji na kiongozi ni tofauti..., baadhi ya qualities za a good leader ni zifuatazo, (angalia mwenyewe Magufuli alikuwa nazo ngapi);

  • Integrity
  • Ability to delegate
  • Communication
  • Self-awareness
  • Gratitude
  • Learning agility
  • Influence
  • Empathy
  • Courage
  • Respect

alikuwa nazo zote
 
We jamaa akili zako bana kwanza dunia unaichukuliaje? Unadhani mataifa yote ni makondoo kama sisi? Hata week asingemaliza madarakani.
 
Back
Top Bottom