Kama huna la kuchangia, kutulia ni option nzuri pia😱!Rais wa dunia asiyeipenda dunia? Si angefutilia mbali wale so called mabeberu?
Magufuli alikuwa mtendaji mzuri he would have made a very good prime minister, ila kwa Rais (binafsi hata Rais wa Kirabu cha mpira nisingempa kura) Hakuwa muunganishi.
HahahahWewe Bwabwa naona leo umefukuliwa ukapewa na bando la jero.
Mimi ata jero kubwa, hahah 😁Wewe Bwabwa naona leo umefukuliwa ukapewa na bando la jero.
Hayati Magufuli alikuwa mzalendo na anayejua nini maana ya uongozi Magufuli alitamani watanzania woote tuwe wazalendo na ndiyo maana hakutaka kuongeza mishahara ili fedha zitumike kujenga nchi...
MsukumaWee kabila gani kwani?
Naona mmejipanga kwelikweli kuendelea kumuenzi kwa nguvu zote. Ila legacy ya mtu huwa hailazimishwi kuishi, kama ipo itaendelea kuwepo tu msiivute kwa winchiKwani nini maana ya kuwa rais mkuu au urais unachagua ukoo na familia.
Rated 5 starsRais wa dunia asiyeipenda dunia? Si angefutilia mbali wale so called mabeberu?
Magufuli alikuwa mtendaji mzuri he would have made a very good prime minister, ila kwa Rais (binafsi hata Rais wa Kirabu cha mpira nisingempa kura) Hakuwa muunganishi.
Mzalendo ni mtu anayeipenda nchi na watu wake, hivyo Magufuli alikuwa na Element zote za uzalendo nenda kasikilize hotuba aliyotoa pale mbezi kituo kipya cha mabasi utajua kweli Alikua na visionHivi kutoongeza mishahara in uzalendo? Kujenga majumba na miundo mbinu ndiyo uzalendo?
It's desire bossUnalipwa Tsh ngapi kwa kumsifia JIWE?
It's desire boss
17/3 of every year is a celebration for all TanzaniansRais wa dunia asiyeipenda dunia? Si angefutilia mbali wale so called mabeberu?
Magufuli alikuwa mtendaji mzuri he would have made a very good prime minister, ila kwa Rais (binafsi hata Rais wa Kirabu cha mpira nisingempa kura) Hakuwa muunganishi.
Kamfufue . Bwege wewe? Raisi wa dunia awe magufuli hata English hajui? Mpumbavu weweHayati Magufuli alikuwa mzalendo na anayejua nini maana ya uongozi Magufuli alitamani watanzania woote tuwe wazalendo na ndiyo maana hakutaka kuongeza mishahara ili fedha zitumike kujenga nchi.
Ukiachilia mbali yeye kuwa Rais ila alijiweka kama mwananchi wa kawaida hakupenda kujimwambafai kwakifupi alikua karibu na wananchi, Hayati Magufuli alikua ni great thinker mtu mwenye utambuzi na mwenye maono.
Alitamani kila Mtanzania anufaike na rasilimali ya taifa letu ndiyo maana alipambana na mabepari na wakoloni weusi, magufuli alikua mchamungu sana na hakua mbaguzi hakua mdini.
Hakika kuna mengi aliyafanya na angeendelea kuwepo hakika angetufikisha nchi ya Ahadi.
Alikuwa raisi wa propaganda. Pumbavu sana yule.Tangia kuumbwa kwa dunia, Tanzania haijawahi kupata rais wa hovyo kama marehemu Magufuli. Kifo cha mchato happened for a good reason.
Etiii,Kwa ufupi qualities za mtendaji na kiongozi ni tofauti..., baadhi ya qualities za a good leader ni zifuatazo, (angalia mwenyewe Magufuli alikuwa nazo ngapi);
- Integrity
- Ability to delegate
- Communication
- Self-awareness
- Gratitude
- Learning agility
- Influence
- Empathy
- Courage
- Respect
Rais wa dunia asiyeipenda dunia? Si angefutilia mbali wale so called mabeberu?
Magufuli alikuwa mtendaji mzuri he would have made a very good prime minister, ila kwa Rais (binafsi hata Rais wa Kirabu cha mpira nisingempa kura) Hakuwa muunganishi.
Kwa ufupi qualities za mtendaji na kiongozi ni tofauti..., baadhi ya qualities za a good leader ni zifuatazo, (angalia mwenyewe Magufuli alikuwa nazo ngapi);
- Integrity
- Ability to delegate
- Communication
- Self-awareness
- Gratitude
- Learning agility
- Influence
- Empathy
- Courage
- Respect