Dkt. Magufuli kwaheri, ulistahili kuwa Rais wa Dunia

takataka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah, kazi ya miili kwenye viroba kule pwani haikuwa ya kitoto - huyu alistahili hata kuiongoza Marekani na Ulaya yoote. Mwendazake alikuwa na sifa kubwa ya kipekee duniani ya kupoteza watu!! yaani mtu hafi ila anatoweka.
Una uhakika ni yeye alikuwa anafanya hivyo?.
 
Title ya thread yako ingebaki tu "Dkt. Magufuli kwaheri" ungeonekana wa maana.Hayo maneno ulitomalizia nayo ndio yamekufanye uonekane kilaza mbele ya halaiki
 
Mkuu sikia nikujuze kitu nchi yeyote ambayo inahitaji kudevelop kiuchumi hizo ulizowek mzee ziliwekwa ziwe kikwazo kwa nchi zinazoendelea ili iwe ngumu kufikiaa hayo fuatilia historia ya Marekani hizo zimeundwa baada ya kuendelea na kuwek hiv kile kilichopo kieendelee kukua sawa kuiga igaa muache
 
takataka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu aamini anachowaza, kwangu Jiwe ni bora sana
 

Yaani dunia iongozwe na Sadist kabisa!!
 
Watu wasiojulikana alikuwa anawafuga yeye. Ukipiga picha hata za wanafunzi wamekaa chini, wanakuweka ndani. Ww siyo mzalendo
Bora ameondoka mapema, alijua
Una uhakika ni yeye alikuwa anafanya hivyo?.
 
Rais ni Mtendaji ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…