Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mchagueni Jah people kwa sababu hatuchagui digrii, mkiniletea wale wa alama ya "manati" sitawaelewa!

Hasira zinampanda kila kukicha, mtu anayesema yeye ni rais wa wanaccm! Hatufai.
 

Acha tumlenge na hiyo manati, hamna namna nyingine.
 
Kavurugwa huyu alidhani mambo yatakuwa mepesi, ndio maana anatumia vitisho kulazimisha watu wamchague mtu ambaye ni wa Chama chake.
Siasa za Chuki na roho mbaya hazitakiwi kwa Nchi yetu ambayo imetawaliwa na Amani na upendo.
Mbona unakuwa huna akili?

Kwani Lisu akisimama huwa anapigaje kampeni? Anasema chagueni yeyote hata awe ccm?

Mwaka huu mbona mtakoma
 
Mungu siyo Amsterdam
 
siyo ubaguzi ila kusema mkichagua upinzani sintaleta maendeleo ndo ubaguzi tunaozungumzia mama mkwe
Kwenye hiyo statement ya Magu kuna hayo maneno?
 
Wananchi wote watakaochagua wabunge eti kwa sababu Magufuli ameagiza kuwa hatawaletea maendeleo ikiwa watachagua upinzani watakuwa hawajitambui. Njombe Magharibi anayotoka Deo Sanga au Jah people ni eneo ambalo elimu ilitangulia kuptia wamissionari wa Kiluteri. Hata kama walifanya makosa kumchagua Deo Sanga miaka 10 iliyopita kwa sababu ya umaarufu wa mabasi na malori yake, lakini watambue kuwa hajawasaidia kitu.

WABENA na WAKINGA Jitambueni, Msitutie Aibu
 
Nenda Kajifunze Kongwa kwa Ndugai ambaye ni Spika wa bunge kabisa.
JPM yeye keshapita anachofanya sasa ni kuwaomba wananchi wampe wagombea wote wawe wa CCM ila iwe rahisi kutekeleza ilani ya CCM.
 
Ila yule wa chattle ni 'yesu' kwa mujibu wa Kangi Lugola.
Utakavyaoona ila Mungu tunayemwabudu siyo Amsterdam kwamba anamtolea matamko na kutaka Lisu ashinde.

Mungu wetu ni wa haki anawapenda wema na waovu ndio maana hata siku moja huwezi kukuta mvua imebagua katika kunyesha. Itanyesha shambani kwa Lisu na kwa Magufuli pia.

Kwahiyo kipigo kwa huyo mtu wenu kibaraka wa Amsterdam kiko pale pale.
 
Kama kile kipigo cha 'yesu'kwny kura za maoni kwa Lugola.
 
Hivi huyu huyu magufuli ndie leo anapiga Magoti kwa ajili ya kuomba kura?.
Sina cha kusema zaidi.
 
Ameshikwa sehemu za siri ana lazimisha wanachi wamchague kwa nguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…