Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mchagueni Jah people kwa sababu hatuchagui digrii, mkiniletea wale wa alama ya "manati" sitawaelewa!

Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mchagueni Jah people kwa sababu hatuchagui digrii, mkiniletea wale wa alama ya "manati" sitawaelewa!

Dkt. Magufuli amewataka wananchi wa Makambako wamchague Mgombea Ubunge wa CCM Jah people kwa sababu kwenye ubunge hatuchagui degree bali mtu.

Dkt. Magufuli amesema Jah people salamu yake ni Kidumu chama cha mapinduzi hivyo wakimleta bungeni wataelewana ila wakimleta yule anayesalimia kwa alama ya manati sitawaelewa.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Hasira zinampanda kila kukicha, mtu anayesema yeye ni rais wa wanaccm! Hatufai.
 
Dkt. Magufuli amewataka wananchi wa Makambako wamchague Mgombea Ubunge wa CCM Jah people kwa sababu kwenye ubunge hatuchagui degree bali mtu.

Dkt. Magufuli amesema Jah people salamu yake ni Kidumu chama cha mapinduzi hivyo wakimleta bungeni wataelewana ila wakimleta yule anayesalimia kwa alama ya manati sitawaelewa.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!

Acha tumlenge na hiyo manati, hamna namna nyingine.
 
Kavurugwa huyu alidhani mambo yatakuwa mepesi, ndio maana anatumia vitisho kulazimisha watu wamchague mtu ambaye ni wa Chama chake.
Siasa za Chuki na roho mbaya hazitakiwi kwa Nchi yetu ambayo imetawaliwa na Amani na upendo.
Mbona unakuwa huna akili?

Kwani Lisu akisimama huwa anapigaje kampeni? Anasema chagueni yeyote hata awe ccm?

Mwaka huu mbona mtakoma
 
Mungu wetu ana kazi nyingi za kuumba binadamu wenye roho safi wa kuchagua badala ya shetani tunayemwona na kumbeba anayepaswa kutupiliwa
mbali tuchague binadamu aliyeshinda mauti kwa uweza wa Mungu mwenyewe na tumwombe ampake mafuta na kumbariki. Tuachane na msema uongo mpenzi wa shetani!
Mungu siyo Amsterdam
 
Dkt. Magufuli amewataka wananchi wa Makambako wamchague Mgombea Ubunge wa CCM Jah people kwa sababu kwenye ubunge hatuchagui degree bali mtu.

Dkt. Magufuli amesema Jah people salamu yake ni Kidumu chama cha mapinduzi hivyo wakimleta bungeni wataelewana ila wakimleta yule anayesalimia kwa alama ya manati sitawaelewa.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Wananchi wote watakaochagua wabunge eti kwa sababu Magufuli ameagiza kuwa hatawaletea maendeleo ikiwa watachagua upinzani watakuwa hawajitambui. Njombe Magharibi anayotoka Deo Sanga au Jah people ni eneo ambalo elimu ilitangulia kuptia wamissionari wa Kiluteri. Hata kama walifanya makosa kumchagua Deo Sanga miaka 10 iliyopita kwa sababu ya umaarufu wa mabasi na malori yake, lakini watambue kuwa hajawasaidia kitu.

WABENA na WAKINGA Jitambueni, Msitutie Aibu
 
Nenda Kajifunze Kongwa kwa Ndugai ambaye ni Spika wa bunge kabisa.
JPM yeye keshapita anachofanya sasa ni kuwaomba wananchi wampe wagombea wote wawe wa CCM ila iwe rahisi kutekeleza ilani ya CCM.
 
Ila yule wa chattle ni 'yesu' kwa mujibu wa Kangi Lugola.
Utakavyaoona ila Mungu tunayemwabudu siyo Amsterdam kwamba anamtolea matamko na kutaka Lisu ashinde.

Mungu wetu ni wa haki anawapenda wema na waovu ndio maana hata siku moja huwezi kukuta mvua imebagua katika kunyesha. Itanyesha shambani kwa Lisu na kwa Magufuli pia.

Kwahiyo kipigo kwa huyo mtu wenu kibaraka wa Amsterdam kiko pale pale.
 
Utakavyaoona ila Mungu tunayemwabudu siyo Amsterdam kwamba anamtolea matamko na kutaka Lisu ashinde.

Mungu wetu ni wa haki anawapenda wema na waovu ndio maana hata siku moja huwezi kukuta mvua imebagua katika kunyesha. Itanyesha shambani kwa Lisu na kwa Magufuli pia.

Kwahiyo kipigo kwa huyo mtu wenu kibaraka wa Amsterdam kiko pale pale.
Kama kile kipigo cha 'yesu'kwny kura za maoni kwa Lugola.
 
JPM yeye keshapita anachofanya sasa ni kuwaomba wananchi wampe wagombea wote wawe wa CCM ila iwe rahisi kutekeleza ilani ya CCM.
Huyu huyu?
FB_IMG_1601425432271.jpg
 
Hivi huyu huyu magufuli ndie leo anapiga Magoti kwa ajili ya kuomba kura?.
Sina cha kusema zaidi.
 
Dkt. Magufuli amewataka wananchi wa Makambako wamchague Mgombea Ubunge wa CCM Jah people kwa sababu kwenye ubunge hatuchagui degree bali mtu.

Dkt. Magufuli amesema Jah people salamu yake ni Kidumu chama cha mapinduzi hivyo wakimleta bungeni wataelewana ila wakimleta yule anayesalimia kwa alama ya manati sitawaelewa.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama!
Ameshikwa sehemu za siri ana lazimisha wanachi wamchague kwa nguvu
 
Back
Top Bottom