Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Mimi sikuzaliwa Rais, Urais mlinipa ninyi

Kosa kubwa lililofanywa na Watanzania ni kumruhusu Magufuli awe Rais
 
Sidhani kama uraisi alipewa na watanzania
 
Kwa kuwa yeye "hakuzaliwa Rais" atambue kwamba wananchi hao hao waliompa ndio watakaomnyima.
 
Aliingia kwa kura atatoka kwa kura
Na tunamuomba kama tarehe 28/10/2020 kura zake hazitatosha aheshimu maamuzi ya wananchi na amuachie Mh. Tundu SAntiphas Lissu, hatutaki king'ang'anizi wala figisu figisu.
 
Sawa kabisa, Vivyo hivyo tulivyompa yeyey ndivyo tarehe 28.10.2020 tutampa Lissu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…