paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Jinga kama wewe ndio mnaoilea rushwa!!Nimeshapokea elf kumi kutoka CCM eti niwachague nami moyoni nasema ivi tar 28 namtandika Lissu livema likuuubwa (LLL)
Jinga Sana wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinga kama wewe ndio mnaoilea rushwa!!Nimeshapokea elf kumi kutoka CCM eti niwachague nami moyoni nasema ivi tar 28 namtandika Lissu livema likuuubwa (LLL)
Selfishness and brutalityAfrica's problems are not the people, but the leaders. Why are Africa countries not blessed with good leadership?.
Kosa kubwa lililofanywa na Watanzania ni kumruhusu Magufuli awe RaisMgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt John Magufuli ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano anayemaliza muhula wake wa kwanza amesema hakuzaliwa Rais.
Amesema Urais amepewa na wananchi ambao amesema kwa nguvu zao wameweza kufanikisha kukamilika miradi mbalimbali ya kitaifa na iliyofanyika Kilimanjaro.
Aidha amewaomba radhi kwa watu wa Mwanga, Same na Korogwe kutokana na kutokamilika kwa mradi wa maji unaohusisha Mwanga, Same na Korogwe ambao ilibidi uwe umekamilika mwaka 2017.
Kutokana na kuchelewesha kwa mradi huo, Magufuli ameahidi kusimamia mradi huo yeye mwenyewe. Kwa kuwa amesema alikuwa Waziri wa Ujenzi hivyo anajua kuwashughulisha makandarasi.
AMEEEEEEEEEENKwa kuwa yeye "hakuzaliwa Rais" atambue kwamba wananchi hao hao waliompa ndio watakaomnyima.
Ni Yeye LissuAfrica's problems are not the people, but the leaders. Why are Africa countries not blessed with good leadership?.
Na tunamuomba kama tarehe 28/10/2020 kura zake hazitatosha aheshimu maamuzi ya wananchi na amuachie Mh. Tundu SAntiphas Lissu, hatutaki king'ang'anizi wala figisu figisu.Aliingia kwa kura atatoka kwa kura
baba yako mzaz yuko ndani hana kosa police wanakuomba 100k atoke ndan.he kama unayo iyo hela utaacha ding afie mahabusu.Jinga kama wewe ndio mnaoilea rushwa!!
Jinga Sana wewe