Hili linahusu watumishi wewe house girl wa Bashiru halikuhusu.Tutamchagua Magufuli inyeshe mvua liwake jua...tumeamua kumchagua Mzalendo mwenzetu.
October 28th ni Magufuli tuu.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Hii kauli ameitoa leo 25/10/2020 kwenye kampeni ikiwa ni miaka mitano toka atamke kauli Kama hii kwa wafanyakazi wakati akipiga kampeni mwaka 2015.
Je, kauli hii ya Sasa inatekelezeka? Miradi aliyosema Hadi iishe ameimaliza?
Acha hasira,bado siku mbili na matokeo yatawahi angalia usije kupata aibu.akipata kura laki 2 tutamchukua mkeo
Huyo kibaraka wenu hatoshinda na analijua hilo tarehe 18 December anakula kona unaachwa kwenye Mataa.Hili linahusu watumishi wewe house girl wa Bashiru halikuhusu.
manina walahi
leo hii anawwapigia magoti
Duh!Hii kauli ameitoa leo 25/10/2020 kwenye kampeni ikiwa ni miaka mitano toka atamke kauli Kama hii kwa wafanyakazi wakati akipiga kampeni mwaka 2015.
Je, kauli hii ya Sasa inatekelezeka? Miradi aliyosema Hadi iishe ameimaliza?
sina hasira ila nasema hiviiiAcha hasira,bado siku mbili na matokeo yatawahi angalia usije kupata aibu.
Mbona unaleta mambo ya kishoga jukwaani?sina hasira ila nasema hiviii
akipata kura zaid ya laki 2 namchukua MKEO
HaswaaaaKama kuna mfanyakazi atampa kura Magufuli kwa ahadi ya kuongezewa mshahara huku alitamka maneno ya jeuri alipoombwa nyongeza ya mshahara basi huyo mtumishi ni kichaa
Huyu dikteta mburula kweli yan,hata haelewi mahitaji ya hadhira zake....yuko babati kwa Wakulima, badala azungumzie Kilimo yeye anazungumzia Mishahara ya Wafanyakazi, Kwani alikuwa akizungumza na Wafanyakazi hapo?Hii kauli ameitoa leo 25/10/2020 kwenye kampeni ikiwa ni miaka mitano toka atamke kauli Kama hii kwa wafanyakazi wakati akipiga kampeni mwaka 2015.
Je, kauli hii ya Sasa inatekelezeka? Miradi aliyosema Hadi iishe ameimaliza?
Ni kweli, Magufuli amewaahidi kuwaongezea wafanyakazi wa Chadema mshahara.Uongo wa Chadema mwisho wao ni October
Mmewanyanyasa sana Watanzania kwenye majimbo
akamdanganye bibi yake, amedharau sana workers, hatudanganyiki tena!Hii kauli ameitoa leo 25/10/2020 kwenye kampeni ikiwa ni miaka mitano toka atamke kauli Kama hii kwa wafanyakazi wakati akipiga kampeni mwaka 2015.
Je, kauli hii ya Sasa inatekelezeka? Miradi aliyosema Hadi iishe ameimaliza?