Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee! Thubutu! Watamshusha mshipa!Bado pemba hajaenda
Ana tatizo la afya hatakiwi kutoa nje ya dar ....Afya imetetereka.
Anajifanya anaenda na mwendo wa Lissu,atazimia!
Lisa jamaa ana health problem that need medical attentionWatanzania hatutaki rais ambae ana afya mbovu akapumzike,ndio majibu ya kuua watu bila hatia.R.I.P Ben Saanane
😂😂😂 umemuona eeh..Hizo ni damu za watu zinamliliaSiku hizi hata mwili anacheza kwa Michael sana ni mikono tu anayoosha
Anavuka tuMakundi yenye maslahi ndani ya CCM watakumbuka walivyomkejeli Mbowe, Lissu na CHADEMA
Anaogopa kujibu dhuluma ya korosho ama pumzi imekata? 🚮 🚮 🚮 🚮Akihutubia jimbo la Kawe, Rais Magufuli amesema yeye ni Binadamu hataweza kwenda lindi na Mtwara hivyo atamtuma Kassim Majaliwa Kassim
Mimi kama mwana CCM naunga mkono kumtumia Mama Salma Kikwete na Jakaya Kikwete mikoa ya lindi na Mtwara na tayari hilo limefanyika.
Kwa uamuzi huu Rais ameona mbali sana na hongera kwake sana sana,
Wale wa maeneo ya Ngende, Nanjilinji na Nkanared na wale wanaotamka mwana Nke badala ya Mwanamke na mnaotamka Ntoto badala ya mtoto wa mikoa ya Lindi na Mtwara tunawategemea sana kupiga kura ya ndio kwa JPM.
Kazi za serikali ni nyingi zinahitaji muda pia.
----
Nilipenda sana kupita maeneo mbalimbali. Nilipenda nifike Mbagala; nitamtuma Mheshimiwa Jakaya Kikwete. Nilipanga niende mpaka Ukonga mwisho, napo nitamtuma Mh. Jakaya Kikwete na viongozi wengine.
Nilipanga kupita kila eneo, lakini mimi ni binadamu. Ningependa hata nifike Katavi na Rukwa lakini ilibidi nimtume Makamu wangu wa Rais, Mama Samia.
Ningependa nifike Mtwara na Lindi lakini nitamtuma kule Waziri Mkuu wangu, Ndugu Kassim Majaliwa.
Ningependa nifike Morogoro; ningependa nifike Pwani; ningependa nifike Pemba na maeneo mengine. Mimi ni binadamu, siwezi kuwa kila mahali na wakati huohuo nifanye kazi za serikali.
Kwa sababu serikali lazima iendelee kwenda, wafanyakazi wapate mishahara yao. Madawa lazima yapatikane hospitali. Na mengine mengi. Wakulima lazima wapate pembejeo. Haya yote unayasimamia wakati ukifanya kampeni.
Hivi hawa ndiyo waliobomolewa mita 120 kila upande eti. Wakubali maendeleo yana gharama. Napitia Lushoto.
Kikwete alifanya kampeni zake hadi mwisho 2010, na huku alikuwa Rais, acheni utetezi wa kitoto.Yeye ni Rais na Mgombea pia.... Unamfananisha na Mgombea wenu?
Sitashangaa Lissu akifigisiwa asikanyage huko