Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Natamani kufika kila eneo kufanya kampeni lakini siwezi

Siku hizi hata mwili anacheza kwa Michael sana ni mikono tu anayoosha
 
Anaogopa kujibu dhuluma ya korosho ama pumzi imekata? 🚮 🚮 🚮 🚮
 
14 October 2020

Nyerere alitembelea majimbo yote ya Tanganyika 1959 bila kuchoka kampeni za Uhuru


Kumbukumbu ya Nyerere wazee wanatoa ushuhuda na wakumbuka jinsi Mwl. Nyerere alivyotembelea majimbo yote ya nchi ya Tanganyika kuwaeleza wananchi wasiwe na hofu, uhuru wa Tanganyika unaweza kupatikana na si jambo la kufikirika lisilowezekana kama wananchi wakati ule walivyofikiria.

Mwaka 1959 mwezi October Mwalimu alitembelea Iringa aliambatana na mzee John Mwakangale mwanasiasa......

Vijana nao waliokuwa shule ya msingi mwaka 1995 pia wanakumbuka...
 
Aletewe Gwajima wa nini?
Badala ya kushawishi watu anawafokea.
Kama yeye anamtaka Gwajima basi amchukue, sio kulazimisha wana Kawe wamchague mcheza Porn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…