Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Natamani kufika kila eneo kufanya kampeni lakini siwezi

Wenye macho wanao na lakini vipofu hujifanya hawaoni na hujitia kiwi ya macho hata kudai upinzani utakufa
 
Kusini wanamsubiri kwa hamu sana aende akawasalimie tu na kuwapa matumaini ya malipo ya korosho zao
 
Gari la mkaa. Trip moja porini, trip nyingine garage.
 
Korosho zao atawambia nini?
 
Pancha nini?
 
Tuna katiba mbovu sn
 
Si akae sasa? analialia nini sasa...gari ya mkaa, Trip shamba trip gereji
Subiri tarehe 28 kamanda utaelewa gari ya gereji ni ipi?

Lisu wako hafikishi hata asilimia 20. Najua utabisha kwakuwa umepumbazwa na ile mikwara yake na mafuriko ambayo hayaingii hata mara tano kwa mafuriko ya slaa achilia mbali haya ya juzi ya Lowasa.
 
Eti kasema hataenda kwa sababu yeye ni binadamu; yawezekana Mh. Tundu Antiphas Lissu kamvua umalaika na kubakia na ubinadamu kama binadamu wengine.
Matamanio ya kuwa kiongozi wa Malaika yameyeyuka,hivi kwa akili ya kawaida Binadamu anawezaje kufikiria kuwa kiongozi wa Malaika?Watu wamepagawa hadi kutamka "Mungu Hoyeeee",ni kawaida?
 
JMP angekuwa anatembeleatembelea huku JF kusoma komenti za wadau na dua zao juu yake nadhani angehama nchi
Anasoma sana na ndiyo maana kuna wakati alisema anatamani malaika ashuke azime hii mitandao.
 
Dictator is afraid of losing power to Lissu and he isn’t qualified to be president with no academic qualifications and is not a Tanzanian by birth. Dictator is Burundi origin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…