Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Labda Raisi wa chatoKakusikiaaa Ataacha Utani Sawa Bro na Wewe unakubali Kubali Kuwa Mitano Mingine yeye ndio RAIS wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Raisi wa chatoKakusikiaaa Ataacha Utani Sawa Bro na Wewe unakubali Kubali Kuwa Mitano Mingine yeye ndio RAIS wetu
kila mkoa na wilaya anakula na ma RC na DC mbona inajulikanaChadema wengi hawana akili!
Hivi Magufuli toka aanze kusema hayo imepita miaka mingapi?
Maana kila mkoa anaopita huwa anasema hivyo, je keshafanya hayo?
Mnafikiri Magu ni kama yule mtu wenu kila muda amejaa jaziba na mihasira?
Hatutaki Maendeleo vitu tuna take Maendeleo ya watu,.... PeriodWatanzania wanataka uhuru na haki ndani ya nchi yao. Watanzania hawataki kuonewa na kunyanyaswa na kutukanwa ndani ya nchi yao. Ndiyo maana kipindi cha miaka 5 ya Meko amejisifu kuwa kafanya maendeleo sana, lakini why this REJECTION ? Sasa hivi haongelei tena madaraja na madege
The Hague inakusubiriWapwa,
Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?
Haki huinua taifa
====
View attachment 1589366
“Unajua Mzee Mwinyi aliniambia siri ya kuishi maisha marefu yeye ana miaka karibu 96 ni kuwa na Wanawake wawili, sasa mimi nina mmoja tu nikimaliza Urais nitaangaliaangalia kupata wa pili huku Zanzibar, nimeona mambo mazuri huku” amesema Magufuli akiwa Zanzibar
aanze kutoa mahari huko Zenj kwa sababu mwisho wake ni oct28 2020Leo Mh. Magufuli kule Zanzibar amesema kuwa akimaliza urais ataongeza mke wa pili. Kiukweli kiongozi kama Magu ambaye ni mwafrika na kiongozi mkubwa ambaye kwa muda mfupi amefaya mambo makubwa na ya ajabu, ambaye amewadindishia wazungu katika mambo mengi mazito akiwakilisha Mwafrika harisi kwakweli ni aibu kwake kuwa na mke mmoja hadi sasa.
Yeye anasema ataongeza akimaliza uongozi, hapo anakosea kabisa kwani alitakiwa ati listi angekuwa hata na watatu ndiyo afikirie kumalizia na swala la muungano kuoa wa Zanzibar.
Magu nikama chifu Mkwawa, Mfalme Mwanamutapa na wengine waliotupa heshima bara la Afrika hawezi kuwa na mke mmoja. Wazee wachache mliobaki wenye hekima mshaulini Mzee afanye jambo la msingi kwani ndiyo uafrika wenyewe na si uzungu hapa.
Huo ukatoriki wake usiwe kikwazo hata kidogo kwani umekuja juzi tena kwa kazi maalumu, afanye kama Mungu wa Afrika alivyo mleta na si Mungu wa wazungu ambaye siwetu.
Ulingosha, na si ulimkatoliki.
aanze kutoa mahari huko Zenj kwa sababu mwisho wake ni oct28 2020
Wapwa,
Magufuli anaendelea na kampeni zake, wakati wakiendelea kunadi sera, akachomekea kuwa akimaliza uraisi ataoa mwanamke wa pili Zanzibar hii ni baada ya kudokezwa na mzee Mwinyi kuwa siri ya yeye kuishi maisha marefu ni kuwa na wake wawili.
Hivi First Lady yuko Zanzibar au anaangalia TBC kama sisi?
Haki huinua taifa
====
View attachment 1589366
“Unajua Mzee Mwinyi aliniambia siri ya kuishi maisha marefu yeye ana miaka karibu 96 ni kuwa na Wanawake wawili, sasa mimi nina mmoja tu nikimaliza Urais nitaangaliaangalia kupata wa pili huku Zanzibar, nimeona mambo mazuri huku” amesema Magufuli akiwa Zanzibar
Na wewe utakua kungwi msasambuaji. Uje na ile kampani yako ya kina juma delicious.Na watatu atakuwa ni wewe.!