Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli: Nikimaliza urais, nitaoa mwanamke wa pili Zanzibar

Chadema wengi hawana akili!

Hivi Magufuli toka aanze kusema hayo imepita miaka mingapi?

Maana kila mkoa anaopita huwa anasema hivyo, je keshafanya hayo?

Mnafikiri Magu ni kama yule mtu wenu kila muda amejaa jaziba na mihasira?
kila mkoa na wilaya anakula na ma RC na DC mbona inajulikana
 
Hatutaki Maendeleo vitu tuna take Maendeleo ya watu,.... Period
 
The Hague inakusubiri
 
aanze kutoa mahari huko Zenj kwa sababu mwisho wake ni oct28 2020
 


Mwinyi hana roho mbaya,ukiwa na roho mbaya lazima uzeeke vibaya. Ona Magufuli wanalingana na mzee Mwinyi wakati ni mtoto wake kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…